Itakuwa unaubwege wa ubongo,Nani amesema siyo dhambi au kukompare which one is big or not.....sasa kwanini aseme wazi wazi anal sex ni fresh tuu as if siyo issue ni mambo ya kawaida katika jamii na sheria za nchi ....tumia ubongo kufikir siyo #tumbo
Sawa.Ndo maana kwenye katiba imesema everyone z equal.. Sasa why ubaguzi wawaache watu wafanye yao angalizo.. Wasifanye publicly it is indecent
Pamoja na kwamba siupendi ushoga but nakubaliana na Shangazi, watu wazima wakiamua kufanya mambo yao chemba let them..
Kichwa kinauma baada ya kusoma comment yako.
ushasema wanyama hawafanyi hapa tunaongelea binadamu mkuu, vingi tu wanyama hawafanyi mathalani wanyama hawapiki hula vibichi vipi hapo, si ni kawaida, binadamu ana yake na wanyama wana yao tofautiKusoma sheria za kidunia ni sawa na bure,Hata wanyama hawafanyiani hivi huyu mama yaonekana hata madrasa hakupita.Ingawa Unguja kuna wanazuoni wengi.Aina ya watu kama huyu mama ni bure kabisa I wish I could be President ningefuta kabisa vyeti vyake vya sheria.
Am not a lesbian. But kama mtu anafanya private mwache afanye ni mwili wake na ni maamuzi yake pia acheni wivu.
Ingawa ikitokea mwanangu akiwa shoga nitasononeka.
Not OK,utamsaidia kumuelimisha ama kumkanya aache,So ukimkuta baba na mdogo wako wa kike wanafanya mapenzi na wakakwambia wamekubaliana, kwako itakuwa ok na utaridhika na kuwaachia waendelee??
Hii ni dhambi,na dhambi yyte lazima ikemewe,Mimi sijali watu wazima wawili [au hata zaidi] walivyoamua kutumia viungo vyao kwa starehe zao.
Sijali kabisa nani anamtoomba nani au nani anamfiiira nani, madhali wawe ni watu wazima na wanafanya kwa ridhaa zao.
Kufiiirwa afiiirwe mwingine halafu kuhemuka nihemuke mimi? Hapana. Hayanihusu kabisa.
Hata ukipinga huna ubavu wa kutokomeza. Habari ndo hiyoUsononeke nini sasa wakati ni maamuzi yake? We si unasema ni fantasy?? Acheni kushabikia vitu visivyo na maana kwa ushabiki tu..
Nimemchekii 🙄🙄 nikasema hihi 😀😀😀hi hiii kwisha habari yakeAnicet mchomvu,
Swali jepesi ni MWANAUME akileta posa kwao ili KUMUOA mtoto wake wa kiume atakubali? Au mwanamke aje kumposa mtoto wake wa kike je atapokea mahari ili mtoto wake wa kike akasagwe na mwanamke?
Yesu asingesapoti huu ujinga. Hata sumaku likely poles zinakwepana.Una hakika mzazi wako ama ndugu yako yyte hajawahi pitia huko,
Hajahalalisha hayo,
Anachosema nao ni binadamu na maadamu ni binadamu waheshimiwe,
Maana mbaya wa Leo ndo mwema wa kesho,
Mwema wa leo ndo mbaya kesho,
Iga mfano wa Yesu hakuwabagua wazinzi walevi watoza ushuru na wadhambi,
Tunachopaswa kufanya siyo kuwabagua ni kuwaelimisha
Mwili wa binadamu sio sumakuYesu asingesapoti huu ujinga. Hata sumaku likely poles zinakwepana.
Ndiwo!!! Absolutely!Mwili wa binadamu sio sumaku
Mnavyoviongea si anavyovimaanisha.Lugha kwangu sio tatizo,
Unaposema haki za binadamu, adhabu na kosa hailingani ana maana gani? Soma kwa makini mkuu.
Wewe uliyemwelewa unadhani sheria iliyopo ya mitandao na masuala ya Kanuni ya adhabu ya homos ipo kufurahisha mtu?
Masuala haya ya kishetani lazima yapate utetezi kwa watu kama ninyi. Rejoice!
Unfortunately even the person you wish you could be, doesn't have the power you wished he had.Kusoma sheria za kidunia ni sawa na bure,Hata wanyama hawafanyiani hivi huyu mama yaonekana hata madrasa hakupita.Ingawa Unguja kuna wanazuoni wengi.Aina ya watu kama huyu mama ni bure kabisa I wish I could be President ningefuta kabisa vyeti vyake vya sheria.
HV mtu akisema ukweli unamuona shoga amka acha ujingaSawa.
Basi endeleeni kugawa linda tu.
Si mnasema ni haki yenu.
MHESHIMIWA, USIJITIE MJUVI WA WANYAMA MAANA HAUNA LOLOTE UNALOLIJUA.
HATA UKIPEWA USHAHIDI WA WANYAMA MASHOGA BADO UTAENDELEA KURUKA RUKA NA NGONJERA ZA SODOMA NA GOMORA.
Kusoma sheria za kidunia ni sawa na bure,Hata wanyama hawafanyiani hivi huyu mama yaonekana hata madrasa hakupita.Ingawa Unguja kuna wanazuoni wengi.Aina ya watu kama huyu mama ni bure kabisa I wish I could be President ningefuta kabisa vyeti vyake vya sheria.