Fathima Godabar; Mwanamke anayeongoza kwa uzuri duniani

Fathima Godabar; Mwanamke anayeongoza kwa uzuri duniani

Kwani uzuri wa mwanamke ni kitu gani? kam sio uso? unataka mpaka uone kwa ndani?ili iweje Mkuu?
kwa mtazamo wangu sio lazima uone hadi ndani, isipokuwa mtoa hoja alipaswa kutuwekea picha kamili ya huyo "mzuri" kwa maana ya maumbile yalivyo, side views, front and back view akiwa na vazi lake, kisha tuamue kama kweli ndie mzuri kuliko wote, ingawa hiyo nayo haitoshi, tungepata watu kama wanne watano walioshiriki nae mahusiano ya tendo, kutupa ulinganifu wa sura yake na umbo lake pamoja na miscelleneous zingine ambazo wengi wetu hatuwezi kuzijua! haiwezekani maoni ya mtu mmoja kutuaminisha wote kuwa huyo ndio mzuri kuliko wote ulimwenguni!!!!!!! doubt is better than overconfidence- it leads into more inquiries....
 
Mzizimkavu leo umechemsha pita upanga pale uwaone kama sio bollywood mbona wapo kibao wanao mzidi huyu!hata sepetu ana makalisha huyu
 
nyinyi wabaguzi.je mmeshamuona mke wangu au niweke picha kama mnabisha!!!!!!!!
 
TAbia yake vipi huyu dada!!
Tabia ni neno pana sana mkuu huwezi kujaji tabia zake kwa mtizamo wa tamaduni za kibongo! Hapa utataka akuamkie shikamoo kila siku ndo uone anatabia nzuri, mara akupigie magoti kama anatoka Mbeya ndo kabisa mtaona anatabia nzuri! Kinachosifiwa hapa kwa uzuri wake ni mwonekano halisi wa mwanamke huyo kwa vigezo vya jumla ikiwa ni sura yake na urembo wake mkuu, siyo tabia!!!
 
mwambie atoe hizo make up kwanza...na hayo madude kwenye kope alafu arudi tena dadeki kama ujadhani kaja mwingine
 
Huyu ni mtangazaji wa tv oman anaitwa sheima al bulushi. Miaka ya tisin na sita we mleta ni muongo. Bumbafu yako
 
Kwani uzuri wa mwanamke ni kitu gani? kam sio uso? unataka mpaka uone kwa ndani?ili iweje Mkuu?

Mkuu...naamini uzuri ni ujumla wa mtu..sio sura tu! Anaweza akawa na sura nzuri zaidi ya malaika..cheki shepu sasa, Michelini imesingiziwa! She is 'cute'...but to say she is beautiful, I need to see more!
 
Suala la uzuri ni perception ya mtu!kwangu mimi namuona wa kawaida sana!
 
Naona mkuu unaendelea kumpigia promo ya nguvu huyu kidosho...
 
Back
Top Bottom