Chenge
JF-Expert Member
- Oct 5, 2011
- 1,073
- 377
Mambo ya Fastjet ,Jana kuna rafiki yangu ametoka dar ,kushuka pale KIA dUH..alidhani yupo UBUNGO BUS TERMINAL ... Cha kufurahisha nusu walioshuka walikuwa wanaulizia bodaboda maarufu kama (TOYO) zinapatikana wapi...
Hawa hapa, utafkiri wanagombea daladala la Mbagala