Nakumbuka kuna mzee mmoja alikuwa ameimport mzigo toka dar kuja mwanza na akategemea mzigo ataurejesha kwa mme wake kwa ndege ya jioni, sasa jamaa si wakahairisha safari! Na nyumbani alikuwa ameaga kuwa yupo kwenye sherehe ya rafiki yake, demu alikuwa analia kama kafiwa hapo airport! Jamaa c waliaharisha safari, yalikuwa majanga