deo asenga
Member
- Oct 11, 2014
- 12
- 2
Unakatalia ndani ya ndege hadi watoe chench
Kweli tupu. Crew wengi wa fast jet kiingereza mgogoro.hata yale maelezo ya jinsi ya kufunga mkanda na kujiokoa anasoma kwenye karatasi lakini Bado anachapia.ishu ya chenji ni Kwelui pia.[/QUOTE
Kiingereza cha nini wakati lugha yetu ni kiswahili! Na tuko nyumbani!Kama huduma ni nzuri lugha ya kiswahili inatosha! Wachache wasiojua kiswahili wataelewa hicho kiingereza cha kuunga! Jaribu kupanda Egypt air uone, jamaa wanapiga kiaraabu tu! Kiingereza broken hakuna mfano!
Natumaini wengi wetu tumepata bahati ya kupaa na Fastjet katika maeneo tofauti hawa jamaa kwa kweli wahudumu & huduma ndani ya ndege ni za kusikitisha yaani utafikiri umepanda basi la abiria.
Iweje huduma ambazo wanalipisha ukimpa hela kubwa (ya chenji) harudishi na huyo mhudumu hutamuona tena moaka unashuka kwenye ndege sijui hata wanaendaga kujifungia wapi.
Nimesafiri sana na hawa jamaa hasa KIA-DAR, DAR- MBEYA na DAR - MWANZA kila ukiwapa hela ya chenji hsabu maumivu, ukijidai kuuliza swali kwa kiingereza ndo umemkimbikiza mazima anazuga HOLD ON ndo anajidai bizeeee anakupita kama hakujui mpaka ndege inatua. ukienda ofisin kwao Daah Hatareee.
Ndugu zanguni Fastjet badilikeni
Somauelewe kwanza kiminyeo no 2;iweje wanatoa huduma,,,sijui niendelee kukuelekeza mpwa??change ya nini??? kwani nauli mnalipia humo kwenye ndege???! au ndio maana umeita basi linalopaa?!
Hahahaha mkuu umenifurahisha sana eti ukiongea kingereza ndo unaharibu kabisa.
Wabongo nao bwana, wanapenda kula njiani, kama mchwa! We safari ya Lisaa manunuzi kwenye ndege ya nini?? Sijui ushamba
Kweli tupu. Crew wengi wa fast jet kiingereza mgogoro.hata yale maelezo ya jinsi ya kufunga mkanda na kujiokoa anasoma kwenye karatasi lakini Bado anachapia.ishu ya chenji ni Kweli pia.[/QUOT
Ulielewa hukuelewa? Acha hayo mambo ..ulitaka waliosoma St. Kayumba waende wapi?
Somauelewe kwanza kiminyeo no 2;iweje wanatoa huduma,,,sijui niendelee kukuelekeza mpwa??
Mpwa aijaaribikakitu hii ndege wananunua vinywaji ndani na msosi sasahapo ndipo jamaa wanalia awarudishiwi chenchi sasaa unaenda kwenye ndege name Doolatano urudishiwe doller mbilii wapinawapi. Good job team hii itawafanya mjena pesakamilii kwenye ndegesijawahikupandandege mpwa ;;ndomaananaulizampwa
Point muhimu sana hii..
Mpwa aijaaribikakitu hii ndege wananunua vinywaji ndani na msosi sasahapo ndipo jamaa wanalia awarudishiwi chenchi sasaa unaenda kwenye ndege name Doolatano urudishiwe doller mbilii wapinawapi. Good job team hii itawafanya mjena pesakamilii kwenye ndege
Mitazamo tuu; there is no formula kama ununue au usinunue drinks or bites kwa sababu safsri fupiWabongo nao bwana, wanapenda kula njiani, kama mchwa! We safari ya Lisaa manunuzi kwenye ndege ya nini?? Sijui ushamba