Fastjet: Basi linalopaa angani

franktemu123

JF-Expert Member
Mar 3, 2011
1,400
1,451
Natumaini wengi wetu tumepata bahati ya kupaa na Fastjet katika maeneo tofauti hawa jamaa kwa kweli wahudumu & huduma ndani ya ndege ni za kusikitisha yaani utafikiri umepanda basi la abiria.

Iweje huduma ambazo wanalipisha ukimpa hela kubwa (ya chenji) harudishi na huyo mhudumu hutamuona tena moaka unashuka kwenye ndege sijui hata wanaendaga kujifungia wapi.

Nimesafiri sana na hawa jamaa hasa KIA-DAR, DAR- MBEYA na DAR - MWANZA kila ukiwapa hela ya chenji hsabu maumivu, ukijidai kuuliza swali kwa kiingereza ndo umemkimbikiza mazima anazuga HOLD ON ndo anajidai bizeeee anakupita kama hakujui mpaka ndege inatua. ukienda ofisin kwao Daah Hatareee.

Ndugu zanguni Fastjet badilikeni
 
Watanzania muwe na shukrani wakati mwingine. Sisemi kuchikichia na chenji za wananchi ni jambo jema lakini wakati mwingine mnawatega bure. Unanunua bites za buku mbili jero then unaangusha hapo msimbazi safari ya dk50. Na mko angani.hamna kibanda cha mangi huko juu eti tuseme ataenda kuomba chenji mara moja. I think it is a professional of telling you guys that they are really sorry n that they cant provide a change so tembea zako huko lakini siku nyingine uje na chenji kamili.
Lets be considerate kidogo basi heeeeeeee!!
 
Watanzania muwe na shukrani wakati mwingine. Sisemi kuchikichia na chenji za wananchi ni jambo jema lakini wakati mwingine mnawatega bure. Unanunua bites za buku mbili jero then unaangusha hapo msimbazi safari ya dk50. Na mko angani.hamna kibanda cha mangi huko juu eti tuseme ataenda kuomba chenji mara moja. I think it is a professional of telling you guys that they are really sorry n that they cant provide a change so tembea zako huko lakini siku nyingine uje na chenji kamili.
Lets be considerate kidogo basi heeeeeeee!!
Lakini kweli ee
 
Natumaini wengi wetu tumepata bahati ya kupaa na Fastjet katika maeneo tofauti hawa jamaa kwa kweli wahudumu & huduma ndani ya ndege ni za kusikitisha yaani utafikiri umepanda basi la abiria.

Iweje huduma ambazo wanalipisha ukimpa hela kubwa (ya chenji) harudishi na huyo mhudumu hutamuona tena moaka unashuka kwenye ndege sijui hata wanaendaga kujifungia wapi.

Nimesafiri sana na hawa jamaa hasa KIA-DAR, DAR- MBEYA na DAR - MWANZA kila ukiwapa hela ya chenji hsabu maumivu, ukijidai kuuliza swali kwa kiingereza ndo umemkimbikiza mazima anazuga HOLD ON ndo anajidai bizeeee anakupita kama hakujui mpaka ndege inatua. ukienda ofisin kwao Daah Hatareee.

Ndugu zanguni Fastjet badilikeni

change ya nini??? kwani nauli mnalipia humo kwenye ndege???! au ndio maana umeita basi linalopaa?!
 
Hivi kwenye hizi ndege huwa wanauza vitu vidogo vidogo kama pale Chalinze? Kwa mfano Pipi, Korosho na vitu vingine vidogo? Mwenye uelewa juu ya hili suala, na pili kwa nini wewe jamaa umeamua kumuuliza swali kwa kiingereza? Au sheria moja wapo ya kupanda ndege lazima ujue kiingereza ili sisi wengine tuanze kwenda Englishi kozi, tuwekane sawa wajameni, Mi plan yangu mwaka huu nataka nipande ndege, sasa je Kiingereza ni lazima kujua? (Natokea mwanza kwenda Dar es salaam)
 
Hivi kwenye hizi ndege huwa wanauza vitu vidogo vidogo kama pale Chalinze? Kwa mfano Pipi, Korosho na vitu vingine vidogo? Mwenye uelewa juu ya hili suala, na pili kwa nini wewe jamaa umeamua kumuuliza swali kwa kiingereza? Au sheria moja wapo ya kupanda ndege lazima ujue kiingereza ili sisi wengine tuanze kwenda Englishi kozi, tuwekane sawa wajameni, Mi plan yangu mwaka huu nataka nipande ndege, sasa je Kiingereza ni lazima kujua? (Natokea mwanza kwenda Dar es salaam)

Maswali yako yana mantiki lakini yanachekesha sana asee!
 
Back
Top Bottom