Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,237
Taarifa zinadokeza kwamba kwa sasa Tanzania na Zimbabwe ndio nchi masikini za kutupwa barani Africa .
Nihatari sana alafu unamwambia mtu kunamdororo wakiuchumi anakwambia hakuna Hapa kazi tu
kwani saa hiz bombadia zinapaki wapiSoon bombadier zetu zitapaki pale JKNIA.
Hizo nazo zinakwenda kupaki.Ni wakati wa kutamba na Bombadier zetu.
Kupaki jumlajumla kama ilivyopaki ile meli ya kwenda Bagamoyo.kwani saa hiz bombadia zinapaki wapi
Ukiona mwenzio ananyolewa wewe tia maji .Soon bombadier zetu zitapaki pale JKNIA.
thanks nimekuelewa shushushu wanguKupaki jumlajumla kama ilivyopaki ile meli ya kwenda Bagamoyo.
Bombadier ipo itafanya kazi.....View attachment 439446 Wasitisha route zake