Dar sio Jiji la harakati za Ukombozi kama ilivyo Nairobi, Kampala, Harare na majiji mengine

MURUSI

JF-Expert Member
Jun 25, 2013
4,495
8,729
Dar ni jiji limejaa watu waoga watupu na wajinga wengi sana, wapuuzi sana, huwezi linganisha Dar na hata Mbeya au.Mwanza au Arusha kwenye harakati, na pia ni tofauti na Majiji kama Nairobi au Kampala au Harare au Lusaka linapokuja suala la Harakati za Ukombozi.

Tanzania harakati za Ukombozi zinaweza letwa na Miji Mingine kama.Mwanza, Mbeya, Arusha na hata Morogoro ila sio Dar. Wakati wa Mugabe Jiji la Harare ndio sehemu ilikuwa inamsumbua sana Mugabe.

Nairobi ndio kitovu cha harakati za Ukombozi Kenya, Kampala ndio kitovu cha harakati za ukombozi Uganda.
 
Kama nawaona vijana wa daSaLama maneno mengi,maisha mbinu mbinu,mtu akiona tu polisi anatimua mbio,akiona mvua anatetemeka.
 
Mkuu hayo mambo ya ukombozi hutokana sana na asili ya watu wa eneo husika.

Mchaga hawezi ipigania nchi akiwa dar hata kama kazaliwa hapo, ndio maana december haaoo wanaenda makwao ni nature hiyo.
Mnyakyusa hawezi acha kwao akaanza ipigania nchi akiwa daslam, backup ataitoa wapi hapo sio asili yake, nature itamkataa.

Daslam ni kwa wazaramo sijui na wandengereko hao ndo waanzishe harakati sasa halafu wengine wafate. Uhuru tu walikuja kina syks toka nje ya nchi na kina nyerere toka uko mbali kabisa na dar ilikua ni makutano.

Mambo ya haki dar sio mahali pake na sababu kubwa ni native wa daslam sio watu wa kupenda haki. Sio watu wa kudai haki, sio wapambaniaji wa haki zao.
Ni nature tu.
 
Dar nani atadai haki pale wakati wenyeji wote wamemezwa?
Na haya mapimbi yaliyohamia ni mengi yaani makabila yote tz yapo pale
sasa kama unamkuta mtu ni mgogo anajikana kabisa
yeye sio mgogo akina Mpwayungu Village
Hizo harakati ataanzisha na nani?
 
Dar ni jiji limejaa watu waoga watupu na wajinga wengi sana, wapuuzi sana, huwezi linganisha Dar na hata Mbeya au.Mwanza au Arusha kwenye harakati, na pia ni tofauti na Majiji kama Nairobi au Kampala au Harare au Lusaka linapokuja suala la Harakati za Ukombozi.

Tanzania harakati za Ukombozi zinaweza letwa na Miji Mingine kama.Mwanza, Mbeya, Arusha na hata Morogoro ila sio Dar. Wakati wa Mugabe Jiji la Harare ndio sehemu ilikuwa inamsumbua sana Mugabe.

Nairobi ndio kitovu cha harakati za Ukombozi Kenya, Kampala ndio kitovu cha harakati za ukombozi Uganda.
kuna mwanafalsafa mmoja wakichina ambae aliandika kitabu maarufu sana duniani kinaitwa"THE ATR OF WAR-SANAA YA VITA"....moja wapo ya philosofy moja alisema" THE BEST WARRIOR NEVER AVOID FIGHTING UNTIL IT STARTED BY THE ENEMY"
 
Back
Top Bottom