Fast Jet kusitisha safari za Dar-Entebe, Dar-Nairobi, Kilimanjaro-Nairobi na Kilimanjaro-Entebe

Si habari njema kwa uchumi wa inchi. shiriki/kampuni ukifunga biashara yake automatic kiasi ilichokuwa inachangia kwenye uchumi wa inchi kitakuwa kimekufa. pia kwa abiri watasafiri kwa gharama kubwa kutokana na washindani kupungua sokoni. hivyo si jambo la kushangilia
 
Swala hili in serious sio mchezo. Hapo hakuna cha kuogopa ushindani wala cha nn. Ishu ni hali ya uchumi ni mbaya kwa sasa
 
Vyombo vya serikali na umma huwa vipo very slow linapokuja suala la fast decision making when an opportunity comes...!!
Anyway ngoja tuone ATCL watakavyo respond.

sijui kama hili ni jambo la kushangilia maana mpaka sasas kwenye hizo njia wanazoenda atcl nauri ni almost twice as much sasa sijui kama wanatuletea unafuu au ugumu mwingine tu?
 
Nihatari sana alafu unamwambia mtu kunamdororo wakiuchumi anakwambia hakuna Hapa kazi tu
Anakwambia wewe ni mpiga dili. Hii kauli inaboa sana kusema ukweli, iweje wote tuonekane wapiga dili wakati hata sijui hayo madili yanapigwa wapi na vipi lakini nataabika kwa kuozewa na matikiti yangu hapa sokoni.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Habari wanaJF,


Shirika la Ndege la Fast Jet lasitisha baadhi ya safari zake.

========
We are sorry to inform you about the suspension of the routes between Dar es Salaam and Kilimanjaro in Tanzania and Nairobi in Kenya, effective as of Monday, 5 December 2016. This suspension of the routes is part of our ongoing turnaround program in pursuit of long term sustainable financial structures for our businesses in Tanzania and Zimbabwe.

After careful consideration of all possible options, we have regrettably made the difficult decision that a small number of route suspensions still needed to be effected. We'd like to thank you, our loyal customer, for your support on this route.
 
Tanzania na Zimbabwe ndio zinaitia hasara FastJet, kutokana na uchumi wa nchi hizi mbili kukumbwa na misukosuko sana, wanaweza wakaondoka soon

Sasa ruti zenye traffiki kubwa kama Dar- Kilimanjaro , na Dar- nairobi zinafutwa ujue kweli biashara ya ndege imekuwa bomu haswa haswa
Hizo ruti ni za ATC,lakini kwa kuwa wamerudi imebidi waziachie tu dada hakuna jinsi.Hata KQ zile safari 49 kwa wiki asilimia 70 ni za ATC,nao utaona tu wanaachia ruti kwa ATC ,hakuna jinsi
 
By MUGAMBI MUTEGI
Low-cost carrier Fastjet could cut its East African flights further beginning next month as part of a route rationalisation exercise meant to match frequencies and customer demand.
Fastjet, which launched direct flights between Dar es Salaam and Kilimanjaro to Jomo Kenyatta International Airport (JKIA) on January 11, says “rationalisation” of its East African flights will take effect on December 5.
The budget carrier, which also operates in Tanzania and Uganda, has faced a hard time on its Kenya routes and was soon after launch forced to end it Kilimanjaro flights and reduce the Dar ones to twice a week.
In a trading update released on Friday, the UK budget airline hinted at more frequency reductions taking place regionally as the firm reorganises its East African business.
“The company has continued the process of assessing its route network and has aggressively rationalised routes and/or reduced frequencies to more sustainably match supply levels with demand,” Fastjet said in a statement.
“This process is nearing completion, with rationalisation of flight activities between Tanzania and Kenya, Tanzania and Uganda as well as between Tanzania and Zimbabwe taking effect on December 5, 2016.”
Fastjet East African general manager Jimmy Kibati declined to comment on the upcoming flight changes. The carrier also announced that it would be seeking more funds sooner than originally expected to achieve a turnaround.
Fastjet said the cost and terms associated with returning leased aircraft had been more onerous than previously expected, leading it to believe that it would need to raise further capital.
This prompted the firm’s chairman Colin Child to resign on Friday after months of the firm battling its second-biggest investor to retain him.
READ: Fastjet chairman resigns as African airline seeks more funds
EasyGroup Holdings, which holds a 12.6 per cent in Fastjet, earlier this year sought to oust Mr Child, saying he failed to relocate the airline’s head office quickly and criticised him for a high cost base.
Fastjet plans to complete its fund-raising exercise in the first quarter of 2017.
www.nation.co.ke/business/Fastjet-mulls-cutting-East-African-flights-further/996-3467084-k6k91gz/index.html
 
Is this the same airline that orgasmic about denial of operating license by kenya?
 
Back
Top Bottom