Kwani ni mkeo?Mambo hayo kampangie mkeoHabarini wakuu,
Nimekuwa navutiwa na mwanadada huyu mtangazaji wa ITV Farhia Midle katika utangazaji wake lakini kwakweli amekuwa na staili yake moja ya kubana nywele kwa nyuma jamani mpaka inaboa.
Nilikuwa namuomba awe anabadilisha staili mbali mbali za kubana nywele zake maana anaonekana ana nywele nzuri na ndefu.
Nawasilisha
Wewe unamuonaje?hewani Muda huu muangalieni
Nashukuru Mungu tafsiri ya urembo inatofautiana baina ya mtu na mtu maana hapa kwa mama bunge, mmmmmmmmmhUngeanza kwanza na Tulia Spa.
Huyu mama kipili pili chake kinaboa. Unajua huyu dada ni mrembo sana sema hayuko bize kujiweka kisista duu.
Hiyo muvi mlikuwa mnaangalizia geto kwako? Ehee, nini kilifuata baada ya muvi kuisha (kama iliisha kweli)?Kuna siku nilipata muda wa kuchezea nikaona nitumie kuangalia movie nilikua na mdada fulani wakati tunatizama ile sinema, katikati ya movie akasema mapazia ya nyumba kwenye movie mabaya. Nilishangaa na kuchoka. Wanawake huwa wanawaza nini! Ningeangalia peke yangu nisingeona kabisa yale mapazia. Mnaweza kuangali kitu kimoja ila mwanamke akaona kitu tofauti
Ajira tena kama ya utangazaji unatakiwa upendezeee haswaaa..
Mpendwa nikupe nywele zangu ?Akifunga lemba sawa