Absolutely.
halafu mijitu mingine inaingia hapa eti serikali ya zenj ilimteka mtu aliyejifanya katekwa, kaamua kujificha ili kuharibu hali ya hewa. Hawa ni majambazi mimi nashangaa eti mpaka sasa hawajakamatwa. Kubukeni kuna maaskari 2 wamepoteza maisha kwa 7bu za ushinzi wa hawa jamaa, Hivi serikali impaka sasa haijamtia nguvuni?
mimi penda sana wafuasi wa chadema! Kwa ulimboka wanataka dunia nzima iamini alitekwa na usalama wa taifa , kwa fareed wanatafuta kila sababu ili ionekana hakutekwa! Haya endeleeni na unafiki wenu, siku moja si mbali mtaumbuka!
Mbona naona wafuasi wa CDM tuu? Hao watanzania wengine wako wapi?kwahiyo kila anyepingana na hila mbovu za waislamu kutaka kuvuruga amani yetu ni mfuasi wa chadema? Acha upimbi wewe kuna watanzania kibao hatuna vyama lakini penye ukweli lazima tuseme, huyu shekhe ubwabwa kajiteka ili apate umaarufu na wahuni wenzie wapate sababu ya kuleta fujo, mlivyo na akili mbaya mnamwita mwanaharakati.
Tafuta matukio ya kulinganisha yanayoelekeana, siyo busara kulinganisha tukio la Dr. Uli na la Shehe Fareed!. Kuwa na aibu kidogo.Mimi penda sana wafuasi wa CHADEMA! Kwa ULIMBOKA wanataka dunia nzima iamini alitekwa na usalama wa taifa , Kwa FAREED wanatafuta kila sababu ili ionekana hakutekwa! Haya endeleeni na unafiki wenu, siku moja si mbali mtaumbuka!
Kwanza sio wa-Islamu wanaofanya haya matendo ni wahuni wanajivika u-Islamu tu. Wa-Islamu wenyewe wanataka watu wote tuwe wa-Islamu dunia nzima na tuishi kwa Amani (ISLAM). Wanawashangaa sana wanaotumia jina la u-Islamu kufanya vurugu. Wasiwasi wangu unakuja pale (wa-Islam) wanaposhindwa kujitokeza hadharani kuwakana hao wahuni!.kwahiyo kila anyepingana na hila mbovu za waislamu kutaka kuvuruga amani yetu ni mfuasi wa chadema? Acha upimbi wewe kuna watanzania kibao hatuna vyama lakini penye ukweli lazima tuseme, huyu shekhe ubwabwa kajiteka ili apate umaarufu na wahuni wenzie wapate sababu ya kuleta fujo, mlivyo na akili mbaya mnamwita mwanaharakati.