zuberi Abraham
JF-Expert Member
- Feb 13, 2016
- 480
- 389
Lumumba kweli kuna Matatizo. Sawa hatukatai ila Mh. MB Lissu nae ana Matatizo kwa Maana la 15% Loan Board halijaisha hakuna Mrejesho ila kashakimbilia hili amalize moja kwanzaHivi huko Lumumba mnafundishana ujinga tu?