DOKEZO Fao la Kujitoa limerudishwa kisheria, kwanini NSSF hamtangazi? Kwanini mtu akitaka hela zake zote (Lump Sum) anazungushwa?

DOKEZO Fao la Kujitoa limerudishwa kisheria, kwanini NSSF hamtangazi? Kwanini mtu akitaka hela zake zote (Lump Sum) anazungushwa?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kwanza hakuna FAO la KUJITOA,kunaitwa Kujitoa.Unapojitoa unakuwa umepoteza Pension Credits.Yaani unakuwa Umererset to Zero.Pili katika swala zima la sustainability la Pension funds Kujitoa kuna athari zaidi kwenye Ukomavu wa mifuko ya Hifadhi.Lengo la SOCIAL security ni ifike hatua kuwe na universal social security na hilo lengo haliwezi kufikiwa kama mifuko ya hifadhi itatumika kam akiba ya benki.

All in all inauma sana unapoona una hela yako imekaa sehemu halafu uko unapitia msoto.
 
Wakuu,

Fao la Kujitoa kwa waajiriwa lilifutwa toka mwaka 2018 kipindi cha Magufuli ambapo likabadilishwa na kuwa Fao la Kukosa Ajira, kikokotoo kikaingia kazini ambapo mtu akiachishwa kazi au ajira yake kuisha alikuwa anapewa asilimia 33% ya mshahara wako wa mwisho kwa muda wa miezi 6 na baada ya hapo utakaa miezi 18 wakiashumu kuwa utakuwa umepata kazi ndani ya muda huo, na ikiwa hautakuwa umepata kazi basi ndio utaweza kupewa pesa yako iliyobaki!

Kikokotoo hicho kimeleta milio mingi, unashikiliaje pesa ya mtu muda wote huo wakati angeweza kufanya mtaji akajikwamua kimaisha? Kwanini akope na afe kwa madeni wakati hela zake zipo?

Baada ya mivutano mingi hatimaye sheria ilibadilishwa Disemba 18, 2025 na kurudisha Fao la Kutoa (kama jinsi ilivyochapishwa na Gazeti la Serikali Disemba 26, 2025), ambapo mtu ataweza kupewa hela zake zote ikiwa ajira yake imekoma au ameachishwa kazi. Mwenye michango akienda kupewa mafao yake anatakiwa kujulishwa juu ya machaguo haya mawili;


1. Unaweza kuchukua mafao yako yote (Lump Sum)
2.
Unaweza kuchukua mafao yako kwa njia ya kikokotoo (ukichagua hapa hutaruhusiwa kurudi tena kwenye Lump Sum ikiwa umeshaanza kuchukua michango yako)

Kwa mwenye michango chini ya miezi kumi na nane (18) atapewa hela yake yote fasta bila kusubiri chochote mara tu ajira yake itakavyokoma, na kwa mwenye michango zaidi ya miezi 18 atatakiwa kusubiri siku tisini (90) na kwenda kuomba apatiwe mzigo wake wote.

Kanuni zilianza rasmi kutumika Februari 19, 2026. Lakini utekelezaji wake umekuwa changamoto!

  • Kwanza, NSSF wenyewe hawajatangaza kwa umma kuhusu mabadiliko haya, yaani yamepita kimya kimywa wakati ni suala lenye maslahi ya umma ambapo wananchi wanatakiwa kutaarifiwa ili waweze kufanya maamuzi sahihi kwenye jambo linaloathiri maishiri yao. NI KWANINI?

  • Wananchi wakienda kuomba mafao yao hawajulishwi kuwa wana machaguo mawili ya kupewa mafao yao (yote au kwa kikokotoo - kidogo kidogo), hivyo unakuta mtu anapewa chaguo la 33% automatically. NI KWANINI?

  • Wananchi wakienda kudai mafao yao na kuchagua kupewa pesa zao zote (Lump Sum) hawapewi, wengine wanaambiwa hawawezi kupewa mpaka (NSSF) wapewe maelezo "Kutoka Juu", huku wengine wakikanusha kuwa hakuna kitu kama hicho! NI KWANINI?

NSSF kwanini mnawataabisha Watanzania huku pesa ni zao? Kuna ajenda gani mnajaribu kuificha hapa? Au hela hakuna mnashindwa kuwaambia wananchi ukweli?

Najua mnapita humu, Wananchi wanataka MAJIBU!
Nasikia kuna dawati maalum la afisa usumbufu.... yaani huyo ukifika kwanza anakukatisha tamaa hutakaa uamini, na nalipwa vzr kwa kusumbua wateja!!
 
Wakuu,

Fao la Kujitoa kwa waajiriwa lilifutwa toka mwaka 2018 kipindi cha Magufuli ambapo likabadilishwa na kuwa Fao la Kukosa Ajira, kikokotoo kikaingia kazini ambapo mtu akiachishwa kazi au ajira yake kuisha alikuwa anapewa asilimia 33% ya mshahara wako wa mwisho kwa muda wa miezi 6 na baada ya hapo utakaa miezi 18 wakiashumu kuwa utakuwa umepata kazi ndani ya muda huo, na ikiwa hautakuwa umepata kazi basi ndio utaweza kupewa pesa yako iliyobaki!

Kikokotoo hicho kimeleta milio mingi, unashikiliaje pesa ya mtu muda wote huo wakati angeweza kufanya mtaji akajikwamua kimaisha? Kwanini akope na afe kwa madeni wakati hela zake zipo?

Baada ya mivutano mingi hatimaye sheria ilibadilishwa Disemba 18, 2025 na kurudisha Fao la Kutoa (kama jinsi ilivyochapishwa na Gazeti la Serikali Disemba 26, 2025), ambapo mtu ataweza kupewa hela zake zote ikiwa ajira yake imekoma au ameachishwa kazi. Mwenye michango akienda kupewa mafao yake anatakiwa kujulishwa juu ya machaguo haya mawili;


1. Unaweza kuchukua mafao yako yote (Lump Sum)
2.
Unaweza kuchukua mafao yako kwa njia ya kikokotoo (ukichagua hapa hutaruhusiwa kurudi tena kwenye Lump Sum ikiwa umeshaanza kuchukua michango yako)

Kwa mwenye michango chini ya miezi kumi na nane (18) atapewa hela yake yote fasta bila kusubiri chochote mara tu ajira yake itakavyokoma, na kwa mwenye michango zaidi ya miezi 18 atatakiwa kusubiri siku tisini (90) na kwenda kuomba apatiwe mzigo wake wote.

Kanuni zilianza rasmi kutumika Februari 19, 2026. Lakini utekelezaji wake umekuwa changamoto!

  • Kwanza, NSSF wenyewe hawajatangaza kwa umma kuhusu mabadiliko haya, yaani yamepita kimya kimywa wakati ni suala lenye maslahi ya umma ambapo wananchi wanatakiwa kutaarifiwa ili waweze kufanya maamuzi sahihi kwenye jambo linaloathiri maishiri yao. NI KWANINI?

  • Wananchi wakienda kuomba mafao yao hawajulishwi kuwa wana machaguo mawili ya kupewa mafao yao (yote au kwa kikokotoo - kidogo kidogo), hivyo unakuta mtu anapewa chaguo la 33% automatically. NI KWANINI?

  • Wananchi wakienda kudai mafao yao na kuchagua kupewa pesa zao zote (Lump Sum) hawapewi, wengine wanaambiwa hawawezi kupewa mpaka (NSSF) wapewe maelezo "Kutoka Juu", huku wengine wakikanusha kuwa hakuna kitu kama hicho! NI KWANINI?

NSSF kwanini mnawataabisha Watanzania huku pesa ni zao? Kuna ajenda gani mnajaribu kuificha hapa? Au hela hakuna mnashindwa kuwaambia wananchi ukweli?

Najua mnapita humu, Wananchi wanataka MAJIBU!
Hii mifuko ya jamii imegeuzwa kuwa vitega uchumi vya CCM. Juzi Rais Samia alimnunulia gari mama Kayumba lenye thamani ya Tsh milioni 100. Pesa za mchezo mchezo kama hizi huwa zinachotwa kwenye mifuko ya jamii. Ikiwemo.NSSF na PSSSF. Ifike wakati serikali ya CCM iache kuchezea fedha za wastaafu.
 
Wakuu,

Fao la Kujitoa kwa waajiriwa lilifutwa toka mwaka 2018 kipindi cha Magufuli ambapo likabadilishwa na kuwa Fao la Kukosa Ajira, kikokotoo kikaingia kazini ambapo mtu akiachishwa kazi au ajira yake kuisha alikuwa anapewa asilimia 33% ya mshahara wako wa mwisho kwa muda wa miezi 6 na baada ya hapo utakaa miezi 18 wakiashumu kuwa utakuwa umepata kazi ndani ya muda huo, na ikiwa hautakuwa umepata kazi basi ndio utaweza kupewa pesa yako iliyobaki!

Kikokotoo hicho kimeleta milio mingi, unashikiliaje pesa ya mtu muda wote huo wakati angeweza kufanya mtaji akajikwamua kimaisha? Kwanini akope na afe kwa madeni wakati hela zake zipo?

Baada ya mivutano mingi hatimaye sheria ilibadilishwa Disemba 18, 2025 na kurudisha Fao la Kutoa (kama jinsi ilivyochapishwa na Gazeti la Serikali Disemba 26, 2025), ambapo mtu ataweza kupewa hela zake zote ikiwa ajira yake imekoma au ameachishwa kazi. Mwenye michango akienda kupewa mafao yake anatakiwa kujulishwa juu ya machaguo haya mawili;


1. Unaweza kuchukua mafao yako yote (Lump Sum)
2.
Unaweza kuchukua mafao yako kwa njia ya kikokotoo (ukichagua hapa hutaruhusiwa kurudi tena kwenye Lump Sum ikiwa umeshaanza kuchukua michango yako)

Kwa mwenye michango chini ya miezi kumi na nane (18) atapewa hela yake yote fasta bila kusubiri chochote mara tu ajira yake itakavyokoma, na kwa mwenye michango zaidi ya miezi 18 atatakiwa kusubiri siku tisini (90) na kwenda kuomba apatiwe mzigo wake wote.

Kanuni zilianza rasmi kutumika Februari 19, 2026. Lakini utekelezaji wake umekuwa changamoto!

  • Kwanza, NSSF wenyewe hawajatangaza kwa umma kuhusu mabadiliko haya, yaani yamepita kimya kimywa wakati ni suala lenye maslahi ya umma ambapo wananchi wanatakiwa kutaarifiwa ili waweze kufanya maamuzi sahihi kwenye jambo linaloathiri maishiri yao. NI KWANINI?

  • Wananchi wakienda kuomba mafao yao hawajulishwi kuwa wana machaguo mawili ya kupewa mafao yao (yote au kwa kikokotoo - kidogo kidogo), hivyo unakuta mtu anapewa chaguo la 33% automatically. NI KWANINI?

  • Wananchi wakienda kudai mafao yao na kuchagua kupewa pesa zao zote (Lump Sum) hawapewi, wengine wanaambiwa hawawezi kupewa mpaka (NSSF) wapewe maelezo "Kutoka Juu", huku wengine wakikanusha kuwa hakuna kitu kama hicho! NI KWANINI?

NSSF kwanini mnawataabisha Watanzania huku pesa ni zao? Kuna ajenda gani mnajaribu kuificha hapa? Au hela hakuna mnashindwa kuwaambia wananchi ukweli?

Najua mnapita humu, Wananchi wanataka MAJIBU!

Hii tawala walifanya makusudi ili wapate kura, Sasa wamerudi tena, tutarudi kule kule, just matter of time

Hii ni michezo ya Politics, legeza kidogo, bana kidogo achia kidogo
 
sharti la kupataa fao la kukosa ajira moja ni barua ya mwajiri wako awe amekufukuza kazi, ukijifukuzisha hupati fao lalo,nahisi mwajiri wako amesoma mchezo vizuri ,ila kuna room ya kuiomba compliance officer wa eneo anaemkagua mwajiri wako kupenyesha agenda ya kupata barua ya kuachishwa kazi yoka kwa mwajiri wako labda hapo utapata haki yako,lakini hakikisha huna kazi kama una kazi ni ngumu
Daaah noma sana nimenyimwa ela zangu NSSF kisa eti investigator aliniona nimetoka private (NSSF) sector ila nipo hazina(govt-PSSF)

Wadau mna weza nisaidia?
 
Wakuu,

Fao la Kujitoa kwa waajiriwa lilifutwa toka mwaka 2018 kipindi cha Magufuli ambapo likabadilishwa na kuwa Fao la Kukosa Ajira, kikokotoo kikaingia kazini ambapo mtu akiachishwa kazi au ajira yake kuisha alikuwa anapewa asilimia 33% ya mshahara wako wa mwisho kwa muda wa miezi 6 na baada ya hapo utakaa miezi 18 wakiashumu kuwa utakuwa umepata kazi ndani ya muda huo, na ikiwa hautakuwa umepata kazi basi ndio utaweza kupewa pesa yako iliyobaki!

Kikokotoo hicho kimeleta milio mingi, unashikiliaje pesa ya mtu muda wote huo wakati angeweza kufanya mtaji akajikwamua kimaisha? Kwanini akope na afe kwa madeni wakati hela zake zipo?

Baada ya mivutano mingi hatimaye sheria ilibadilishwa Disemba 18, 2025 na kurudisha Fao la Kutoa (kama jinsi ilivyochapishwa na Gazeti la Serikali Disemba 26, 2025), ambapo mtu ataweza kupewa hela zake zote ikiwa ajira yake imekoma au ameachishwa kazi. Mwenye michango akienda kupewa mafao yake anatakiwa kujulishwa juu ya machaguo haya mawili;


1. Unaweza kuchukua mafao yako yote (Lump Sum)
2.
Unaweza kuchukua mafao yako kwa njia ya kikokotoo (ukichagua hapa hutaruhusiwa kurudi tena kwenye Lump Sum ikiwa umeshaanza kuchukua michango yako)

Kwa mwenye michango chini ya miezi kumi na nane (18) atapewa hela yake yote fasta bila kusubiri chochote mara tu ajira yake itakavyokoma, na kwa mwenye michango zaidi ya miezi 18 atatakiwa kusubiri siku tisini (90) na kwenda kuomba apatiwe mzigo wake wote.

Kanuni zilianza rasmi kutumika Februari 19, 2026. Lakini utekelezaji wake umekuwa changamoto!

  • Kwanza, NSSF wenyewe hawajatangaza kwa umma kuhusu mabadiliko haya, yaani yamepita kimya kimywa wakati ni suala lenye maslahi ya umma ambapo wananchi wanatakiwa kutaarifiwa ili waweze kufanya maamuzi sahihi kwenye jambo linaloathiri maishiri yao. NI KWANINI?

  • Wananchi wakienda kuomba mafao yao hawajulishwi kuwa wana machaguo mawili ya kupewa mafao yao (yote au kwa kikokotoo - kidogo kidogo), hivyo unakuta mtu anapewa chaguo la 33% automatically. NI KWANINI?

  • Wananchi wakienda kudai mafao yao na kuchagua kupewa pesa zao zote (Lump Sum) hawapewi, wengine wanaambiwa hawawezi kupewa mpaka (NSSF) wapewe maelezo "Kutoka Juu", huku wengine wakikanusha kuwa hakuna kitu kama hicho! NI KWANINI?

NSSF kwanini mnawataabisha Watanzania huku pesa ni zao? Kuna ajenda gani mnajaribu kuificha hapa? Au hela hakuna mnashindwa kuwaambia wananchi ukweli?

Najua mnapita humu, Wananchi wanataka MAJIBU!
Pengine hii inasubiriwa itangazwe Mei Mosi
 
Wakuu,

Fao la Kujitoa kwa waajiriwa lilifutwa toka mwaka 2018 kipindi cha Magufuli ambapo likabadilishwa na kuwa Fao la Kukosa Ajira, kikokotoo kikaingia kazini ambapo mtu akiachishwa kazi au ajira yake kuisha alikuwa anapewa asilimia 33% ya mshahara wako wa mwisho kwa muda wa miezi 6 na baada ya hapo utakaa miezi 18 wakiashumu kuwa utakuwa umepata kazi ndani ya muda huo, na ikiwa hautakuwa umepata kazi basi ndio utaweza kupewa pesa yako iliyobaki!

Kikokotoo hicho kimeleta milio mingi, unashikiliaje pesa ya mtu muda wote huo wakati angeweza kufanya mtaji akajikwamua kimaisha? Kwanini akope na afe kwa madeni wakati hela zake zipo?

Baada ya mivutano mingi hatimaye sheria ilibadilishwa Disemba 18, 2025 na kurudisha Fao la Kutoa (kama jinsi ilivyochapishwa na Gazeti la Serikali Disemba 26, 2025), ambapo mtu ataweza kupewa hela zake zote ikiwa ajira yake imekoma au ameachishwa kazi. Mwenye michango akienda kupewa mafao yake anatakiwa kujulishwa juu ya machaguo haya mawili;


1. Unaweza kuchukua mafao yako yote (Lump Sum)
2.
Unaweza kuchukua mafao yako kwa njia ya kikokotoo (ukichagua hapa hutaruhusiwa kurudi tena kwenye Lump Sum ikiwa umeshaanza kuchukua michango yako)

Kwa mwenye michango chini ya miezi kumi na nane (18) atapewa hela yake yote fasta bila kusubiri chochote mara tu ajira yake itakavyokoma, na kwa mwenye michango zaidi ya miezi 18 atatakiwa kusubiri siku tisini (90) na kwenda kuomba apatiwe mzigo wake wote.

Kanuni zilianza rasmi kutumika Februari 19, 2026. Lakini utekelezaji wake umekuwa changamoto!

  • Kwanza, NSSF wenyewe hawajatangaza kwa umma kuhusu mabadiliko haya, yaani yamepita kimya kimywa wakati ni suala lenye maslahi ya umma ambapo wananchi wanatakiwa kutaarifiwa ili waweze kufanya maamuzi sahihi kwenye jambo linaloathiri maishiri yao. NI KWANINI?

  • Wananchi wakienda kuomba mafao yao hawajulishwi kuwa wana machaguo mawili ya kupewa mafao yao (yote au kwa kikokotoo - kidogo kidogo), hivyo unakuta mtu anapewa chaguo la 33% automatically. NI KWANINI?

  • Wananchi wakienda kudai mafao yao na kuchagua kupewa pesa zao zote (Lump Sum) hawapewi, wengine wanaambiwa hawawezi kupewa mpaka (NSSF) wapewe maelezo "Kutoka Juu", huku wengine wakikanusha kuwa hakuna kitu kama hicho! NI KWANINI?

NSSF kwanini mnawataabisha Watanzania huku pesa ni zao? Kuna ajenda gani mnajaribu kuificha hapa? Au hela hakuna mnashindwa kuwaambia wananchi ukweli?

Najua mnapita humu, Wananchi wanataka MAJIBU!
NSSF Wenyewe wapo kimya
 
Hii imekutokea lini mkuu?
Jan 2026
Kuna manouvre nifanye?

Maana termination letter na certificate of service ninavyo.

Tatizo ni eti investigator kaniona hazina, so hawataki kunipa ela zangu eti nitadai nikistaafu roughly 28 years to come seriously😌😌😌

Nitadai za NSSF then PSSF eti hakuna merger kila mfuko kivyake
 
Kwa hili wanasema watakaonufaika na hii lump sum ni wale watakaoanza kuchukua pesa zao mwaka huu na kwa wale wa miaka ya nyuma sharti uwe hujawahi chukua kwa mfumo wa 33% ila kama ulilipwa kwa mfumo huo basi unatakiwa usubiri miezi 18 ndipo ukatoe mzigo wote.
 
Kwanza wao wanawekeza hizo pesa wanaingiza faida alafu mwanachama hakana kitu kinaongezeka kwenye mchanngo wake alafu kwenda kuchukua pesa mizunguko miingi utafikili hawaingiza faida kupitia michango yako
 
Kenya wameanza mkakati wa kuajiri serikalini kwa mikataba. very soon huu utaratibu utaanza TZ. Hatuwezi kuafford kuajiri watu on permanent and pensionable basis. Hata mataifa yaliyoendelea hayafanyi hivi.

Taratibu tutafika tuu.
Kwa severe financial crisis inayokuja duniani kuna mambo serikalini yatabadilika watumishi wa umma watashangaa sana kwa mfano serikali itake isitake italazimika kuwalipa watumishi wake based on performance maana serikali itakuwa na pesa kidogo sana za kuwalipa watumishi mishahara.
 
Kwa severe financial crisis inayokuja duniani kuna mambo serikalini yatabadilika watumishi wa umma watashangaa sana kwa mfano serikali itake isitake italazimika kuwalipa watumishi wake based on performance maana serikali itakuwa na pesa kidogo sana za kuwalipa watumishi mishahara.
Wamechelewa
 
Wakuu,

Fao la Kujitoa kwa waajiriwa lilifutwa toka mwaka 2018 kipindi cha Magufuli ambapo likabadilishwa na kuwa Fao la Kukosa Ajira, kikokotoo kikaingia kazini ambapo mtu akiachishwa kazi au ajira yake kuisha alikuwa anapewa asilimia 33% ya mshahara wako wa mwisho kwa muda wa miezi 6 na baada ya hapo utakaa miezi 18 wakiashumu kuwa utakuwa umepata kazi ndani ya muda huo, na ikiwa hautakuwa umepata kazi basi ndio utaweza kupewa pesa yako iliyobaki!

Kikokotoo hicho kimeleta milio mingi, unashikiliaje pesa ya mtu muda wote huo wakati angeweza kufanya mtaji akajikwamua kimaisha? Kwanini akope na afe kwa madeni wakati hela zake zipo?

Baada ya mivutano mingi hatimaye sheria ilibadilishwa Disemba 18, 2025 na kurudisha Fao la Kutoa (kama jinsi ilivyochapishwa na Gazeti la Serikali Disemba 26, 2025), ambapo mtu ataweza kupewa hela zake zote ikiwa ajira yake imekoma au ameachishwa kazi. Mwenye michango akienda kupewa mafao yake anatakiwa kujulishwa juu ya machaguo haya mawili;


1. Unaweza kuchukua mafao yako yote (Lump Sum)
2.
Unaweza kuchukua mafao yako kwa njia ya kikokotoo (ukichagua hapa hutaruhusiwa kurudi tena kwenye Lump Sum ikiwa umeshaanza kuchukua michango yako)

Kwa mwenye michango chini ya miezi kumi na nane (18) atapewa hela yake yote fasta bila kusubiri chochote mara tu ajira yake itakavyokoma, na kwa mwenye michango zaidi ya miezi 18 atatakiwa kusubiri siku tisini (90) na kwenda kuomba apatiwe mzigo wake wote.

Kanuni zilianza rasmi kutumika Februari 19, 2026. Lakini utekelezaji wake umekuwa changamoto!
  • Kwanza, NSSF wenyewe hawajatangaza kwa umma kuhusu mabadiliko haya, yaani yamepita kimya kimywa wakati ni suala lenye maslahi ya umma ambapo wananchi wanatakiwa kutaarifiwa ili waweze kufanya maamuzi sahihi kwenye jambo linaloathiri maishiri yao. NI KWANINI?
  • Wananchi wakienda kuomba mafao yao hawajulishwi kuwa wana machaguo mawili ya kupewa mafao yao (yote au kwa kikokotoo - kidogo kidogo), hivyo unakuta mtu anapewa chaguo la 33% automatically. NI KWANINI?
  • Wananchi wakienda kudai mafao yao na kuchagua kupewa pesa zao zote (Lump Sum) hawapewi, wengine wanaambiwa hawawezi kupewa mpaka (NSSF) wapewe maelezo "Kutoka Juu", huku wengine wakikanusha kuwa hakuna kitu kama hicho! NI KWANINI?
NSSF kwanini mnawataabisha Watanzania huku pesa ni zao? Kuna ajenda gani mnajaribu kuificha hapa? Au hela hakuna mnashindwa kuwaambia wananchi ukweli?

Najua mnapita humu, Wananchi wanataka MAJIBU!
Halijawahi kuzuiwa sema MAGUFULI alileta uhuni wa kuzuia watu wasichukue PESA zao ,enzi za kikwete ndani ya wiki tatu tu unachukua mzigo wako.

Kuzuia fao la kujitoa ni kudidimiza uchumi , kuna mtu anatafuta tu msingi wa biashara so watu wakijotoa wanaenda kuanzisha baishara na kuajiri watu wengine na wapya wanaingia kwenye ajira wanakusanya msingi ,ukizuia means mtu atakaa kwenye ajira hadi miaka 55 means ajira nyingi zinapotea.

Kuna watu wameacha kazi wamejiajiri na sasa nao wameajiri watu wengi ungesema uwazuie wasitoe hela maana yake mpaka sasa wangukuwa wameajiriwa.

Fao la kujitoa linachochea maendeleo na linaongeza ajira zaidi ,big up aliyefikiria kutengua UHUNI wa serikali ya awamu ya 5.
 
Back
Top Bottom