Fanya jaribio hili usiku, nakuhakikishia utaona vitu visivyo vya kawaida angani

Hizo dalili za uoga.
Vitu vingine ulivyoviona visivyo vya kawaida na hauwezi kuvisimulia, ndiyo nini!
Kauli yako hiyo kwamba hauwezi kusimulia mambo uliyoyaona yasiyokuwa ya kawaida, kunaifanya thread yako nzima iwe ni ya kusadikika.
Msimpuuze Jamani.
Mm nimemwelewa
Aliyekuambia Nyota zinapishana taratibu ni nani huyo Mualimu tumchape!
Hicho ulichoona si chochote bali kinaitwa kitaalam "OPTICAL ILLUSION " na mara nyingi hutokea baada ya mtu kukodolea kitu kimoja kwa muda mrefu kama jinsi ulivyofanya.
..
 
True .....na ndio maana ukifa hurudi! Kuja kutuletea letea umbea na mengine kuongeza chumvi, yaan Sir God alijua!
 
mmmh! saa hizo nje kuna mbu wengi sana! sijui ulimudu vipi kutulia bila kujikuna kwa dakika 15 mfululizo. au uko wapi?

Huko juu kuna satellites nyingi sana zimerushwa, hivyo sio ajabu kuziona angani gizani, wachilia mbali vimondo
 
kwa kuwa uliangalia muda mrefu kwa kunyanyua shingo misuli ya fahamu ilichoka ikakuletea vitu vya ajabu na nyota kupishana inawezekana uliona satellite zikitembea
 
True .....na ndio maana ukifa hurudi! Kuja kutuletea letea umbea na mengine kuongeza chumvi, yaan Sir God alijua!
mmmh! saa hizo nje kuna mbu wengi sana! sijui ulimudu vipi kutulia bila kujikuna kwa dakika 15 mfululizo. au uko wapi?

Huko juu kuna satellites nyingi sana zimerushwa, hivyo sio ajabu kuziona angani gizani, wachilia mbali vimondo
kwani ulikunywa ngapi ?
kwa kuwa uliangalia muda mrefu kwa kunyanyua shingo misuli ya fahamu ilichoka ikakuletea vitu vya ajabu na nyota kupishana inawezekana uliona satellite zikitembea
..
 

Ahaa, hiyo hali inaitwa kusinzia na kuota Mkuu. Inawapata wengi tu wakiwa wametulia wakikaza fikra juu ya kitu kimoja. Ndoto ya kwazna ni kile kitu ulichokuwa umekazia fikra kabla hujasinzia.
 
Mleta thread kweli Chenga, nimekuja mbio nikidhani majaribio yako umeyafanyia maabara,

ulikuwa unasumbuliwa na usingizi hujaona kitu chochote..
 
Ahaa, hiyo hali inaitwa kusinzia na kuota Mkuu. Inawapata wengi tu wakiwa wametulia wakikaza fikra juu ya kitu kimoja. Ndoto ya kwazna ni kile kitu ulichokuwa umekazia fikra kabla hujasinzia.



Imagination.






Mleta thread kweli Chenga, nimekuja mbio nikidhani majaribio yako umeyafanyia maabara,

ulikuwa unasumbuliwa na usingizi hujaona kitu chochote..

..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…