Fanya haya ukifika jela kwa mara ya kwanza

Molembe

JF-Expert Member
Dec 25, 2012
9,821
11,527
Jela au gereza ni sehemu ambayo mtu yeyote anaweza kuingia, aidha kwa kusingiziwa kosa (hawa ndio wengi), kufanya kosa kwa maksudi mfano kuiba, kuua,n.k,kufanya kosa kwa bahati mbaya mfano kuua bila kukusudia.

Makosa hayo yote yanaweza kukufikisha gerezani au jela siku moja, hivyo hayupo mtu ambae anaweza sema yeye katika maisha yake hawezi kuingia jela.

Siku ya kwanza kuingia jela hakikisha unakabidhi vitu vyako kwa askari pale mlangoni, kuna vitu haviruhusiwi gerezani kama vile simu, pesa, silaha yoyote, kabidhi vitu hivyo vitatunzwa mpaka siku ukiachiwa utakabidhiwa.

Kama kituo cha polisi umepigwa kipindi unatoa maelezo yako, ukifika gerezani sema umepigwa hautapokelewa baadala utarudishwa polisi na kupewa PF3 ukatibiwe, hii itakusaidia ukifika mahakamani kukataa maelezo uliyoyatoa polisi na kuonesha PF 3 kuwa ulishurutishwa kukubali kosa.

Mambo mengine muhimu ni pamoja na kutii na kufuata taratibu zote ukiwa ndani ya gereza, ukiambiwa kuwa point ile unakuwa point hiyo, ukiitwa na askari unachuchumaa chini na kujiepusha kuingia migogoro na viongozi wa wafungwa (Nyampara na viherehere) pamoja na askari.

Mambo mengine muhimu.
Ukifungwa unaondolewa moja ya tatu ya kifungo chako yaani theluthi moja, mfano miaka 30 unatumikia miaka 20 isipokuwa kwa wafungwa kwa wafungwa wa kunyongwa na wale wa maisha.

Nakaribisha maswali.
 
Jela au gereza ni sehemu ambayo mtu yeyote anaweza kuingia, aidha kwa kusingiziwa kosa (hawa ndio wengi), kufanya kosa kwa maksudi mfano kuiba, kuua,n.k,kufanya kosa kwa bahati mbaya mfano kuua bila kukusudia.

Makosa hayo yote yanaweza kukufikisha gerezani au jela siku moja, hivyo hayupo mtu ambae anaweza sema yeye katika maisha yake hawezi kuingia jela.

Siku ya kwanza kuingia jela hakikisha unakabidhi vitu vyako kwa askari pale mlangoni, kuna vitu haviruhusiwi gerezani kama vile simu, pesa, silaha yoyote, kabidhi vitu hivyo vitatunzwa mpaka siku ukiachiwa utakabidhiwa.

Kama kituo cha polisi umepigwa kipindi unatoa maelezo yako, ukifika gerezani sema umepigwa hautapokelewa baadala utarudishwa polisi na kupewa PF3 ukatibiwe, hii itakusaidia ukifika mahakamani kukataa maelezo uliyoyatoa polisi na kuonesha PF 3 kuwa ulishurutishwa kukubali kosa.

Mambo mengine muhimu ni pamoja na kutii na kufuata taratibu zote ukiwa ndani ya gereza, ukiambiwa kuwa point ile unakuwa point hiyo, ukiitwa na askari unachuchumaa chini na kujiepusha kuingia migogoro na viongozi wa wafungwa (Nyampara na viherehere) pamoja na askari.

Mambo mengine muhimu.
Ukifungwa unaondolewa moja ya tatu ya kifungo chako yaani theluthi moja, mfano miaka 30 unatumikia miaka 20 isipokuwa kwa wafungwa kwa wafungwa wa kunyongwa na wale wa maisha.

Nakaribisha maswali.

Eti “...hakikisha unakabidhi vitu vyako kwa askari pale mlangoni ...” Kwani una hiari ya kutokukabidhi? Hiyo ni standard procedure, upende usipende. Askari watakupekua!
 
Jela au gereza ni sehemu ambayo mtu yeyote anaweza kuingia, aidha kwa kusingiziwa kosa (hawa ndio wengi), kufanya kosa kwa maksudi mfano kuiba, kuua,n.k,kufanya kosa kwa bahati mbaya mfano kuua bila kukusudia.

Makosa hayo yote yanaweza kukufikisha gerezani au jela siku moja, hivyo hayupo mtu ambae anaweza sema yeye katika maisha yake hawezi kuingia jela.

Siku ya kwanza kuingia jela hakikisha unakabidhi vitu vyako kwa askari pale mlangoni, kuna vitu haviruhusiwi gerezani kama vile simu, pesa, silaha yoyote, kabidhi vitu hivyo vitatunzwa mpaka siku ukiachiwa utakabidhiwa.

Kama kituo cha polisi umepigwa kipindi unatoa maelezo yako, ukifika gerezani sema umepigwa hautapokelewa baadala utarudishwa polisi na kupewa PF3 ukatibiwe, hii itakusaidia ukifika mahakamani kukataa maelezo uliyoyatoa polisi na kuonesha PF 3 kuwa ulishurutishwa kukubali kosa.

Mambo mengine muhimu ni pamoja na kutii na kufuata taratibu zote ukiwa ndani ya gereza, ukiambiwa kuwa point ile unakuwa point hiyo, ukiitwa na askari unachuchumaa chini na kujiepusha kuingia migogoro na viongozi wa wafungwa (Nyampara na viherehere) pamoja na askari.

Mambo mengine muhimu.
Ukifungwa unaondolewa moja ya tatu ya kifungo chako yaani theluthi moja, mfano miaka 30 unatumikia miaka 20 isipokuwa kwa wafungwa kwa wafungwa wa kunyongwa na wale wa maisha.

Nakaribisha maswali.
Wewe mwenyew usikute hata kituo cha polisi unakiona kwa macho ujawah ingia
 
Jianda kupekenyuliwa mkund**uni kama umeficha vtu kama hela,bangi,sigara
 
Nasikia kuna askari magereza hukuweka finger kwenye tigo, eti ndio wanakusearch hapa kuna ukweli?.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Viherehere ni neno rasmi au umekosea au kulitunga. Mfano utamheshimu bipi mtu mwenye Kiherehere chake
 
Jela au gereza ni sehemu ambayo mtu yeyote anaweza kuingia, aidha kwa kusingiziwa kosa (hawa ndio wengi), kufanya kosa kwa maksudi mfano kuiba, kuua,n.k,kufanya kosa kwa bahati mbaya mfano kuua bila kukusudia.

Makosa hayo yote yanaweza kukufikisha gerezani au jela siku moja, hivyo hayupo mtu ambae anaweza sema yeye katika maisha yake hawezi kuingia jela.

Siku ya kwanza kuingia jela hakikisha unakabidhi vitu vyako kwa askari pale mlangoni, kuna vitu haviruhusiwi gerezani kama vile simu, pesa, silaha yoyote, kabidhi vitu hivyo vitatunzwa mpaka siku ukiachiwa utakabidhiwa.

Kama kituo cha polisi umepigwa kipindi unatoa maelezo yako, ukifika gerezani sema umepigwa hautapokelewa baadala utarudishwa polisi na kupewa PF3 ukatibiwe, hii itakusaidia ukifika mahakamani kukataa maelezo uliyoyatoa polisi na kuonesha PF 3 kuwa ulishurutishwa kukubali kosa.

Mambo mengine muhimu ni pamoja na kutii na kufuata taratibu zote ukiwa ndani ya gereza, ukiambiwa kuwa point ile unakuwa point hiyo, ukiitwa na askari unachuchumaa chini na kujiepusha kuingia migogoro na viongozi wa wafungwa (Nyampara na viherehere) pamoja na askari.

Mambo mengine muhimu.
Ukifungwa unaondolewa moja ya tatu ya kifungo chako yaani theluthi moja, mfano miaka 30 unatumikia miaka 20 isipokuwa kwa wafungwa kwa wafungwa wa kunyongwa na wale wa maisha.

Nakaribisha maswali.
Mkuu hivi mfano umekabidhi Vifaa vyako ikiwemo fedha au pesa kwa lugha nyingine halafu ikatokea katika kurekodi wakakuzidishia au tuseme wakakosea kiasi halisi ulicho kiacha mf uliacha 30,000 askari akakosea akaandika 130,000 vipi hapo utapatiwa hicho kiasi au
 
Kama kituo cha polisi umepigwa kipindi unatoa maelezo yako, ukifika gerezani sema umepigwa hautapokelewa baadala utarudishwa polisi na kupewa PF3 ukatibiwe, hii itakusaidia ukifika mahakamani kukataa maelezo uliyoyatoa polisi na kuonesha PF 3 kuwa ulishurutishwa kukubali kosa.
Mtu gani ataeacha kazi yake na kukurudisha polisi ukapewe PF3?
Kipigo gerazani ni kama maji ya kunywa tu, hivyo kwa askari magereza kumlalamikia kua polisi amekupiga ni sawa na kumlalamikia daktari maumivu uliyoyapata wakati anakuchoma sindano sanasana atatabasamu na kukwambia poooleeee.
Malalamiko ya kupigwa na polisi unapaswa uyatoe mahakamani, hakimu atayapima akiona yana mashiko ndio ataamrisha upatiwe PF3 na upewe matibabu.[/QUOTE]Sio kweli
 
Jela au gereza ni sehemu ambayo mtu yeyote anaweza kuingia, aidha kwa kusingiziwa kosa (hawa ndio wengi), kufanya kosa kwa maksudi mfano kuiba, kuua,n.k,kufanya kosa kwa bahati mbaya mfano kuua bila kukusudia.

Makosa hayo yote yanaweza kukufikisha gerezani au jela siku moja, hivyo hayupo mtu ambae anaweza sema yeye katika maisha yake hawezi kuingia jela.

Siku ya kwanza kuingia jela hakikisha unakabidhi vitu vyako kwa askari pale mlangoni, kuna vitu haviruhusiwi gerezani kama vile simu, pesa, silaha yoyote, kabidhi vitu hivyo vitatunzwa mpaka siku ukiachiwa utakabidhiwa.

Kama kituo cha polisi umepigwa kipindi unatoa maelezo yako, ukifika gerezani sema umepigwa hautapokelewa baadala utarudishwa polisi na kupewa PF3 ukatibiwe, hii itakusaidia ukifika mahakamani kukataa maelezo uliyoyatoa polisi na kuonesha PF 3 kuwa ulishurutishwa kukubali kosa.

Mambo mengine muhimu ni pamoja na kutii na kufuata taratibu zote ukiwa ndani ya gereza, ukiambiwa kuwa point ile unakuwa point hiyo, ukiitwa na askari unachuchumaa chini na kujiepusha kuingia migogoro na viongozi wa wafungwa (Nyampara na viherehere) pamoja na askari.

Mambo mengine muhimu.
Ukifungwa unaondolewa moja ya tatu ya kifungo chako yaani theluthi moja, mfano miaka 30 unatumikia miaka 20 isipokuwa kwa wafungwa kwa wafungwa wa kunyongwa na wale wa maisha.

Nakaribisha maswali.
Sio kwa bongo mzee
 
Mkuu hivi mfano umekabidhi Vifaa vyako ikiwemo fedha au pesa kwa lugha nyingine halafu ikatokea katika kurekodi wakakuzidishia au tuseme wakakosea kiasi halisi ulicho kiacha mf uliacha 30,000 askari akakosea akaandika 130,000 vipi hapo utapatiwa hicho kiasi au
Unacho pewa ni kile kiasi kilicho andikwa kwenye daftali la mali za wafungwa na pesa ikipungua au ikizidi atakae wajibika ni yule askari aliekupokea wakati unawasili gerezani.
 
Kama kituo cha polisi umepigwa kipindi unatoa maelezo yako, ukifika gerezani sema umepigwa hautapokelewa baadala utarudishwa polisi na kupewa PF3 ukatibiwe, hii itakusaidia ukifika mahakamani kukataa maelezo uliyoyatoa polisi na kuonesha PF 3 kuwa ulishurutishwa kukubali kosa.
Mtu gani ataeacha kazi yake na kukurudisha polisi ukapewe PF3?
Kipigo gerazani ni kama maji ya kunywa tu, hivyo kwa askari magereza kumlalamikia kua polisi amekupiga ni sawa na kumlalamikia daktari maumivu uliyoyapata wakati anakuchoma sindano sanasana atatabasamu na kukwambia poooleeee.
Malalamiko ya kupigwa na polisi unapaswa uyatoe mahakamani, hakimu atayapima akiona yana mashiko ndio ataamrisha upatiwe PF3 na upewe matibabu.[/QUOTE]Ukisema umepigwa huwezi pokelewa gerezani, mahabusu wakiwa wanapokelewa wanaulizwa kama wamepigwa na wale waliopigwa hurudishwa polisi wakatibiwe.
 
Mtu gani ataeacha kazi yake na kukurudisha polisi ukapewe PF3?
Kipigo gerazani ni kama maji ya kunywa tu, hivyo kwa askari magereza kumlalamikia kua polisi amekupiga ni sawa na kumlalamikia daktari maumivu uliyoyapata wakati anakuchoma sindano sanasana atatabasamu na kukwambia poooleeee.
Malalamiko ya kupigwa na polisi unapaswa uyatoe mahakamani, hakimu atayapima akiona yana mashiko ndio ataamrisha upatiwe PF3 na upewe matibabu.
Ukisema umepigwa huwezi pokelewa gerezani, mahabusu wakiwa wanapokelewa wanaulizwa kama wamepigwa na wale waliopigwa hurudishwa polisi wakatibiwe.[/QUOTE]Siyo inategemea na unavyoonekana mf una majeraha labda au ni kila anayesema amepigwa anarudishwa polisi?
 
Ukisema umepigwa huwezi pokelewa gerezani, mahabusu wakiwa wanapokelewa wanaulizwa kama wamepigwa na wale waliopigwa hurudishwa polisi wakatibiwe.
Siyo inategemea na unavyoonekana mf una majeraha labda au ni kila anayesema amepigwa anarudishwa polisi?[/QUOTE]Suala la kurudishwa polisi eti kisa umepigwa hilo sijawahi kulishuhudia na wala sidhani kama lina ukweli wowote labda kwa magereza ya wenzetu huko mbele ila kwa bongo hapana.
 
Mtu gani ataeacha kazi yake na kukurudisha polisi ukapewe PF3?
Kipigo gerazani ni kama maji ya kunywa tu, hivyo kwa askari magereza kumlalamikia kua polisi amekupiga ni sawa na kumlalamikia daktari maumivu uliyoyapata wakati anakuchoma sindano sanasana atatabasamu na kukwambia poooleeee.
Malalamiko ya kupigwa na polisi unapaswa uyatoe mahakamani, hakimu atayapima akiona yana mashiko ndio ataamrisha upatiwe PF3 na upewe matibabu.
Sio kweli[/QUOTE]Hicho ni sawa kabisa na kukamata mhalifu na kumpiga then ukampeleka polisi, kama akiwa katika hali tata watampokea na ww mwenyewe utakaa mahabusu kusubilia huyo mwalifu apate nafuu au afe upate kesi ya mauaji, hakuna aliyetayali kuwajibika kwa kosa la mwingine
 
Jianda kupekenyuliwa mkund**uni kama umeficha vtu kama hela,bangi,sigara
Na kama nimeshakabidhi vyote pale mlangoni nitapekenyuliwa tena?? Nasikia ati unavuliwa vyote tena mbele ya askari wa kike. Je ni kweli au chai tu
 
Back
Top Bottom