Fanya haya mwanamke wako asikusaliti

Fanya haya mwanamke wako asikusaliti

Au sio!,
Kuna vitu labda uwe jobless ndio utakuwa na muda wa kufanya hayo yote kila siku.
Watu wanaondoka saa 11 alfajiri alafu, anarudi saa 5 usiku na bado afanye yote hayo?.
Kumuongelesha kwa heshima, kumdinya vizuri is it too much ?
 
Kijana kwa maelezo yako kama wewe sio jobless basi hujaoa siku ukioa uje usome tena uzi wako cha pili chunga sana huna muda mrefu utakunjuliwa " kisoda" yani kama mume yuko mbali wewe inakuuma au kukuhusu nini? Chunga sana kuingia katika ndoa za watu
Mkuu am 35+ with a well paying job in maritime industry , alafu naongea kwa faida ya wote wanawake wana visasi sana. kuna jamaa wa Dom anamuita mke wake zezeta kweli mtu ana bachelor ya nursing unamuita zezeta tena mkeo.
 
Mkuu am 35+ with a well paying job in maritime industry , alafu naongea kwa faida ya wote wanawake wana visasi sana. kuna jamaa wa Dom anamuita mke wake zezeta kweli mtu ana bachelor ya nursing unamuita zezeta tena mkeo.
Ila hujaoa sema kweli? Ukioa utawaelewa vizuri sana wanawake
 
Kumuongelesha kwa heshima, kumdinya vizuri is it too much ?
Mtu hawezi kurudi saa tano usiku, ale, aoge, asalimie na kujibu hoja mbili tatu, hiyo ni saa tano nusu saa sita kasoro, na bado anatakiwa aamke kumi na nusu au moja kutafuta kulisha hao watu.Alafu unataka afanye hayo mambo yalioyoandikwa humo ndani, no way.

Kabla ya kuoana, walidate na walijuana, so yeye mwanamke kama alijua sex drive yake iko juu, ilitakiwa aolewa na yule anayeweza kumfanyia hayo mambo. Ila kama aliongozwa na tumbo basi atulie au aombe talaka
 
Njia pekee ya kumfanya mwanamke asikusaliti ni kuhakikisha yeye mwenyewe kwa hiyari hakusaliti
 
Una hasira una mafumbo... Hahaha relax sweetheart
Hasira zanini love???😁😁😁😁

Mtu anatumia kiungo chake kwanini umpangie???😁🤭🤭🤭

Wewe ndo unahasira namie sio kwa kasi hio 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😄

Khakhakhaaa nacheka kama mazuri vile!!
 
Hasira zanini love???😁😁😁😁

Mtu anatumia kiungo chake kwanini umpangie???😁🤭🤭🤭

Wewe ndo unahasira namie sio kwa kasi hio 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😄

Khakhakhaaa nacheka kama mazuri vile!!
Nimeokoka...
 
Haijalishi ana umri gani, wa 70s, 80s, 90s na hata 2000 wote wapo so vulnerable kwa wanaume. Wanalombwa tu na hata uwape nini, there's no formula hata kidogo.
 
Back
Top Bottom