shalet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 3,440
- 3,606
Habari za masiku wapendwa.
Nimegundua haya machache pengine yanaweza kutufaa sisi wanaume tulio oa kuishi vema bila kusalitiwa na wapenzi wetu. uzoefu wangu mdogo kwa wanawake watatu unaweza kuwafaa na wengine.
1. Usimuongeleshe vibaya wala kumgombeza mpenzi wako, mwanamke ni rahisi kusaliti kama yupo kwenye ndoa au mahusiano asiyoheshimika hasa hawa mabinti wa 90S kuendelea utagongewa sana ukijifanya kauzu.
2. Usiishi mbali na mwanamke wako kwa muda mrefu, wanawake wana hisia za kimapenzi kama wanaume asikudanganye mtu kuwa wanawake wanaweza kuvumilia , ni vile mwanamke hawzi tongoza ila kama kuna mtu yupo karibu naye atakusaliti tu, hakikisha unampa tendo mkeo mara kwa mara.
3. Usiruhusu mawasiliano ya mwanamke wako na ex wake asilimia kubwa wanawake wana saliti na waliokuwa wapenzi wao wa zamani au wanaume waliowahi kuwatongoza , mazoea yoyote ya mke wako na wanaume wasiojulikana hayatakiwi.
4. Mwanamke wako asifanye kazi ya kupambana sana kama siasa , mziki au shughuli yoyote inayohitaji kupata connection na kupambana sana wengi tunajua siasa na mambo mengi ya kiuchumi ni male dominated mwanamke anavyokuwa exposed sana huko ni rahisi kushawishika.
Nimeongea haya baada ya kuona wanawake watatu niliokuwa nao kwenye mahusiano bado naweza kuwa nao kwenye mahusiano hata baada ya kuolewa, mmoja kaolewa na leturer UDSM huyu lecturer anamchukulia poa sana huyu mwanamke pamoja na kuzlisha nje bado ana mdharau kitu kinachofanya huyu dada kunitafuta.
Wapili ni nesi huyu jamaa yake toka kahamia dodoma anaweza kaa miezi minne bila kuonana na mke wake na kuna treni ya mwendokasi, kitu kinachofanya huyu dada apende kuonana na mimi mara kwa mara.
watatu huyu mme wake dont care mwanae kalazwa sickel cell muhimbili hajawahi fika hospital hata kumuona mtoto mwezi mzima mpaka mtoto anafariki imagine mtoto anafariki napewa taarifa mwanzo kama mzazi kisa mme haonyeshi ushirikiano.
Nimegundua haya machache pengine yanaweza kutufaa sisi wanaume tulio oa kuishi vema bila kusalitiwa na wapenzi wetu. uzoefu wangu mdogo kwa wanawake watatu unaweza kuwafaa na wengine.
1. Usimuongeleshe vibaya wala kumgombeza mpenzi wako, mwanamke ni rahisi kusaliti kama yupo kwenye ndoa au mahusiano asiyoheshimika hasa hawa mabinti wa 90S kuendelea utagongewa sana ukijifanya kauzu.
2. Usiishi mbali na mwanamke wako kwa muda mrefu, wanawake wana hisia za kimapenzi kama wanaume asikudanganye mtu kuwa wanawake wanaweza kuvumilia , ni vile mwanamke hawzi tongoza ila kama kuna mtu yupo karibu naye atakusaliti tu, hakikisha unampa tendo mkeo mara kwa mara.
3. Usiruhusu mawasiliano ya mwanamke wako na ex wake asilimia kubwa wanawake wana saliti na waliokuwa wapenzi wao wa zamani au wanaume waliowahi kuwatongoza , mazoea yoyote ya mke wako na wanaume wasiojulikana hayatakiwi.
4. Mwanamke wako asifanye kazi ya kupambana sana kama siasa , mziki au shughuli yoyote inayohitaji kupata connection na kupambana sana wengi tunajua siasa na mambo mengi ya kiuchumi ni male dominated mwanamke anavyokuwa exposed sana huko ni rahisi kushawishika.
Nimeongea haya baada ya kuona wanawake watatu niliokuwa nao kwenye mahusiano bado naweza kuwa nao kwenye mahusiano hata baada ya kuolewa, mmoja kaolewa na leturer UDSM huyu lecturer anamchukulia poa sana huyu mwanamke pamoja na kuzlisha nje bado ana mdharau kitu kinachofanya huyu dada kunitafuta.
Wapili ni nesi huyu jamaa yake toka kahamia dodoma anaweza kaa miezi minne bila kuonana na mke wake na kuna treni ya mwendokasi, kitu kinachofanya huyu dada apende kuonana na mimi mara kwa mara.
watatu huyu mme wake dont care mwanae kalazwa sickel cell muhimbili hajawahi fika hospital hata kumuona mtoto mwezi mzima mpaka mtoto anafariki imagine mtoto anafariki napewa taarifa mwanzo kama mzazi kisa mme haonyeshi ushirikiano.