- Hivi shoga lazima awe mwanaume?
- Neno "ulawiti" lina maana gani?
Kwa mtazamo wangu, hata mwanamke anaweza kuwa shoga, ilmradi tu naye ameweza kuwa na sifa za ushoga....! Na pia naamini kuwa, yeyote mwenye ujasiri wa kulawiti, basi pia ana ujasiri wa kulawitiwa.....! Hivyo, kitendo cha mtu kuweza kumchezea mwingine kinyume na maumbile, basi naye atakuwa na elements za kukubali kuchezewa hivyohivyo...... nor matter ulikuwa hivyo toka utotoni au umezoeshwa.... tayari wewe ni shoga....!
Na kwa uelewa wangu, "ulawiti" si lazima ihusishe sehemu za kimaumbile, bali hata kwa kuingiza vitu vingine kama vidole, vijiti nk, kwenye tigo, nayo ni "ulawiti".... Hivyo, kwa hatua mliokwisha fikia na mwenzio mimi naweza kutafsiri kama ulawiti, na hivyo wote ni mashoga.... aidha, kwa kufundishana au pengine mlikuwa hivyo toka utotoni wenu.... Na kwa muibu wa fikra zangu hizi, kama sikosei, iliandikwa kwenye misaafu kuwa "walawiti na walawitiwa, wote na walaaniwe". Hapa tafsiri ya mlawiti na mlawitiwa ni kwamba mtu huwa amelawitiwa au amelawiti iwapo amefanya au amefanyiwa hivyo kwa ridhaa yake, na sio kwa kubakwa kwa ngunvu.....!
Kuhusu mumeo:
Mimi kama mwanaume hizo hisia zinanishangaza, na kunifanya nijisikie kuwa tofauti naye kabisa.... Kwa maana huwa ikitokea hata sehemu yeyote ya mwili wa kiumbe chochote kikinugusa matakoni lazima nishtuke hata kama nimelala usingizi mzito, na kujiskia kama ni dharau.... kitu ambacho mara nyingi nimekuwa nikiwaasa kila mwanamke ninayespend naye kuwa yupo huru kunigusa popote mwilini mwangu, lakini sio maeneo hayo.... vinginevyo tunaweza kuagana kwa vibao na mangumi....!Hata wakati wote nikiwa na mwanamke hiyo akili ya nyuma kwake siipati, bali nitabaki kule mlango wa mbele na kusahau mlango wa nyuma kuwa kunapitika....!
Ushauri:
Waweza kuendelea bila wasiwasi, kwa kuwa ni "fantasy" yenu.... lakini muwe waangalifu sana, maana nawaona kama mnacheza na moto au maji bila ujuzi wa kutosha kuhusu vitu hivyo...!
Lakini pia kwa imani yangu, naona kama hilo ni pepo lililowavamia na sasa kilichopo ni kujaribu kusali/kuomba sana na kujizuia kama mtaweza kuishi bila kufanyiana hivyo tena....Japo kwa jinsi ambavyo mmekwisha zoea, huenda ikahitaji subira na ukarribu na Mungu wenu sana....! Lakini mkiamua litawezekana, hasa ukiweza kumshirikisha na mumeo kuhusu hisia hizo....!