Mie nimeolewa miaka yapata 10-liyopita,tunaishi na mwenzangu kwa raha na amani,ingawa yapo matatizo kidogokidogo na huwa tunayamudu.Mme wangu huwa anapenda sana kutiwa vidole kwenye tigo na yeye pia anapenda kunitia vidole kwenye tigo na huwa ananusa hicho kidole na mie kanifunza nikimtia namwekea kidole anakinusa na anasikia raha sana,sasa nikamwuliza hii ni nini akaniambia eti ni fantasy yake,sasa jamani huyu jamaa anaweza kuwa shoga?
Sasa mkishatiana madole mnasitisha gemu kuviosha au mnashikana hivohivo ?:shocked:Mie nimeolewa miaka yapata 10-liyopita,tunaishi na mwenzangu kwa raha na amani,ingawa yapo matatizo kidogokidogo na huwa tunayamudu.Mme wangu huwa anapenda sana kutiwa vidole kwenye tigo na yeye pia anapenda kunitia vidole kwenye tigo na huwa ananusa hicho kidole na mie kanifunza nikimtia namwekea kidole anakinusa na anasikia raha sana,sasa nikamwuliza hii ni nini akaniambia eti ni fantasy yake,sasa jamani huyu jamaa anaweza kuwa shoga?
Sijaona mwanamume mjanja kama huyo wako dada... amekutega na wewe ushanasa shida yake akuzoeshe ili ukishazoea akwambie ajaribu m**oo, na hapo ndo utakiwa mchezo wenu kama nawaona vile!! Pole lakini ndo ushanasa kwenye huo mtego kama ushazoea kidole kidogo, then gumba lastly m**oo!!!
Jamami mie sijakimbia nilikuwa nasoma maoni yenu ili nije na maelezo ya kutosha.Ok mie ni mgeni humu sijui jukwaa la wakubwa liko wapi na unaingiaje huko,kuhusu mme wangu yeye ni chotara wa kinyamwezi na kijerumani tunaishi nae hapa dar,sijwahi kumfuma hata na demu wa pembeni wala sms na simu yake haifichi iko wazi tu,tunapofanya ngono tunanyonyana sanatu,mie namnyonya nae pia lika sehemu ikiwemo tigo na wakati wa kitendo ndipo huniingiza kidole anakinusa nami namuingiza namnusisha kwake huwa ni raha mno,mie siwezi kumkatalia manaake ni mme wangu ila kwakuwa siyajui ndio maana nawaulizeni nyie.Mchezo huu tumeuanza siku nyingi tu na yeye anainjoi tu,ama kuhu kuniwekea kamguu katatu hajawahi na wala hajanitamkia.Jamani naamini wanawake wenzangu wanaweza kunielewa yvema zaidi kuliko wanaume na nawaomba wote ambao wananikejeli wajiweke kwenye vitu vyangu ndipo watoe majibu.Nawashukuruni sana
Jamani nilishawahi kusoma thread wakati mimi naingia kama guest humu kidole sehemu za tigo ni kitu cha kawaida tu ila linapokujja kunusa ndio utashangaa, kuna mdada nae alikuwa anaambiwa akijisaidia haja kubwa asi flush chooni mjamaa akiingia utasiki anakojoa huku anasema astakafilulah kiarabu m,hhhh hii nayo niliiona kali, jambo lingine jamaa anaweza akawa amezoea tigo ila nje ya ndoa. jamani ndoa kazi hizi lol
Oookay mkuuu....
teh! Mchizi anataka tigo kwa staili ya aina yake teh! Pole sana!
Nimekuja tena,safari hii kwa ufafanuzi zaidi.Ni kwamba mchezo huu tunaufanya kwa zaidi ya miaka 8 na wala hajawahi kabisa kuniomba tigo,kwa jinsi tulivyoelewana naamini angekuwa mlatigo asingeshindwa kuniomba kabisa.Ni mwanamme mtulivu sana na kwakweli amenifanyia mengi tu na hata kwa wazazi wake kabla hawajafa alinipeleka ujerumani na huko tuliishi muda mrefu na vidole ilikuwa kama kawa.Nilisema kuwa wanawake wenzangu watanielewa zaidi kwakuwa wengi wetu tunakutana na vituko toka kwa waume zetu pengine kuliko changu na tunavumilia sana.Si nia yangu kujitangaza kuwa natiwa vidole na wala si lengo langu kumshushia hadhi mme wangu.
Tuchangie mada inayoletwa kwa nia ya kuliewa tatizo,kulichambua athari zake na kutoa ushauri wa maana,na si wa kuniambia kuwa nimpe kimba mme wangu ale,ushauri wa namna hiyo unaweza kutolewa na zuzu tu.Wakatabahu