Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,893
sasa sredi hamuitendei haki....:d
sredi inatendewa haki ila waku na wanachama wanaogoma matokeo ya mjadala huu unaweza kuwa msumari kwa ndoa changa kama yako japo umeshaoa siku nyingi na kuhalarisha na kama siyo kubariki tarehe 13 februari makambako!
Ebu tupe objective ya maada hii tafadhali!!!!!!!!