Family Marriages VS Love Marriages: Which is which?!

I am Still thinking aloud in my honeymoon!...

Baada ya kujadili sana biashara za break-ups in nowadays marriages,i decided to go back to the roots...!

Kuna aina mbili za ndoa ambazo ni BASICS:
1-FAMILY MARRIAGES-hizi ni kwamba kijana akishafikia umri wa kuoa anawasilisha hitaji lake kwa wazazi.ni jukumu la wazazi kuangalia ni familia gani ina binti mzuri wa tabia,na pia kuangalia historical backgrounds za hiyo familia.from there makubaliano yote hufanywa na wazazi wa pande mbili.Ndoa hizi ndizo asili NA MILA ZETU WAAFRIKA.ndoa hizi bado baadhi ya makabila wanazienzi na kuzidumisha.wakati wa ndoa hizi hakukuwa na mambo ya break-ups..!hizi ndoa siwezi kusema zilikuwa na mapenzi kwa maana ya mapenzi...!hizi ndoa zilikuwa na kitu kingine MORE THAN/APART FROM LOVE!...hizi ndoa wenzetu wahindi bado wanazienzi na kuzidumisha...!asilimia 90 ya hizi family marriages ni SUCCESSFUL!(kwa research yangu)

2-LOVE MARRIAGES-hizi ni western types za marriages.ni kwamba couples wanakutana/fahamiana mazingira yoyote yale,jf,kaunta,bar,shuleni,kazini n.k.huko wanaanza na MAPENZI,KUFANYA MAPENZI n.k.baada ya hapo wanaangalia kama wanaweza kuishi pamoja then wanafanya mikataba ya hiari....!hizi ndoa zinaonekana kuwa KASHESHE kinyume na mimi nilivyofikiria....!ndoa hizi zina mlolongo wa kuumizana,unseriousnesses,breakups and all that!asiilimia 60 ya LOVE MARRIAGES HAZIKO SUCCESSFUL!

my point:do we need LOVE MARRIAGES ANY FURTHER?...!of these types za ndoa,which is which?...

(honeymoon inaendelea tena ina mafanikio makubwa:D)

Its what you make out of the marriage whatever it is. Kuna saying my Religion is a matter solely between my creator and myself. Relating to this Marriage is between a man and a woman and them making it work.

Ndoa ngapi za St Joseph au St Peters kwa mfano zimevunjika? Askofu upo?
 
Hujui raha ya kondoo aliye nona? Mkia wake unakuwa umejaa mafuta na mafuta yale ni tosha kwa chakula.

Mkia wa kondoo umenona kweli! Raha yake wakati unamchunga kondoo mkia unauangalia kwa nyuma unavoyumbayumba!
 
safi sana Sashay, ijapokuwa hujapiga hodi rasmi mi nakukaribisha hapa kwen jukwaa letu la MMU. Unatumia kinywaji gani?

Asante sana Kaizer, samahani sana kwa kuingia bila hodiiii nilikuwa na kumbukia enzi hizo nilipokuwa mtoto nikienda kwa mama fulani jirani yetu naiingia tuu wanaishia kusema ooh mtoto mzuri karibu. Kuhusu kinywaji nitafurahi ukinipatia Sprite baridiii.
 
Asante sana Kaizer, samahani sana kwa kuingia bila hodiiii nilikuwa na kumbukia enzi hizo nilipokuwa mtoto nikienda kwa mama fulani jirani yetu naiingia tuu wanaishia kusema ooh mtoto mzuri karibu. Kuhusu kinywaji nitafurahi ukinipatia Sprite baridiii.

Hapo umepotea njia. Huyo binadamu ana aleji ya kununua kinywaji ambacho ni non alcoholic. Ungeomba Ndovu, ungeshapata PM ya ofa!
 
Asante sana Kaizer, samahani sana kwa kuingia bila hodiiii nilikuwa na kumbukia enzi hizo nilipokuwa mtoto nikienda kwa mama fulani jirani yetu naiingia tuu wanaishia kusema ooh mtoto mzuri karibu. Kuhusu kinywaji nitafurahi ukinipatia Sprite baridiii.

Usijali sana sahay karibu, kinywaji hicho umepata bila shaka...weitaa hebu tengeneza sprite na barafu fasta na kamrija tumkaribishe mgeni

Usimsikilize Chrispin, mi huwa nampe mtu anachopenda wajameni sio alcoholic tu..sema ingekuwa YEYE nisingenunua!

Kuna ka button ka thanks naona bado hujakajulia hebu kagonge.

Karibu sana
 
Usijali sana sahay karibu, kinywaji hicho umepata bila shaka...weitaa hebu tengeneza sprite na barafu fasta na kamrija tumkaribishe mgeni

Usimsikilize Chrispin, mi huwa nampe mtu anachopenda wajameni sio alcoholic tu..sema ingekuwa YEYE nisingenunua!

Kuna ka button ka thanks naona bado hujakajulia hebu kagonge.

Karibu sana

Homeboy Sprite ni soda au juisi? Hahaha! Sikumbuki hii kitu nimenywa lini!
 
Geoff.........japo nimechelewa kuchangia lakini ningependa kukupa new model ya hizi ndoa ambazo ni fusion ya ya zamani na ya sasa ( nahisi ingelifaa zaidi kutumiwa na makabila mengi zaidi)

mwanamme akitaka kuoa, anawaambia wazee wake (old model)
wazee wanachunguza tabia za wasichana kadhaa wenye kuelewana kifamilia (old model)
kisha wazee wanamtajia mtoto wao waliompenda katika hao wasichana (old model)

kabla ya kuzungumza na wazee wa upande wa msichana

mwanamme muoaji anazungumza nae mwanamke mwenyewe, au niseme anamtongoza bila ya kumwambia kuwa amepitishwa na wazee kwanza (new model)

mwanamke akikubali au niseme akipendana nae (new model)

wazee wa mwanamme wanazungumza na wazee wa msichana ( old model)

ndoa inafungwa :D

msichana akitongozwa akikataa (new model), mwanamme anarudi tena kwa wazee wake na kupewa jina la msichana mwengine na circle linajirudia kaa hapo juu


nafikiri hii ni system nzuri sana ambayo kwa nafsi yangu ningependelea zaidi since ina retain zile good parts za ndoa za aina zote mbili

N:B am talking from my own experience
 
Geoff.........japo nimechelewa kuchangia lakini ningependa kukupa new model ya hizi ndoa ambazo ni fusion ya ya zamani na ya sasa ( nahisi ingelifaa zaidi kutumiwa na makabila mengi zaidi)

mwanamme akitaka kuoa, anawaambia wazee wake (old model)
wazee wanachunguza tabia za wasichana kadhaa wenye kuelewana kifamilia (old model)
kisha wazee wanamtajia mtoto wao waliompenda katika hao wasichana (old model)

kabla ya kuzungumza na wazee wa upande wa msichana

mwanamme muoaji anazungumza nae mwanamke mwenyewe, au niseme anamtongoza bila ya kumwambia kuwa amepitishwa na wazee kwanza (new model)

mwanamke akikubali au niseme akipendana nae (new model)

wazee wa mwanamme wanazungumza na wazee wa msichana ( old model)

ndoa inafungwa :D

msichana akitongozwa akikataa (new model), mwanamme anarudi tena kwa wazee wake na kupewa jina la msichana mwengine na circle linajirudia kaa hapo juu


nafikiri hii ni system nzuri sana ambayo kwa nafsi yangu ningependelea zaidi since ina retain zile good parts za ndoa za aina zote mbili

N:B am talking from my own experience
sawa ndugu gaijin...!ndoa yako ni successful kwa vyovyote.
na ushauri wako nimeupenda sana
 
Back
Top Bottom