Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
- Thread starter
- #61
hehehe!mimi nikishauri kaizer ataponda!...ongea na kaizerJana nikiwa stand nilikutana na binti mmoja tukiwa shule nilimpenda sana tena mno nikataka nimchumbie alinipiga kibuti cha ugoko jana nikaonana nae dah Mungu si athumani nikakumbushia ahadi yangu ile naona anakuja sasa huyu nimfanyaje kipindi kile alinitosa sasa anakubali nimuoe hajachuja kweli?
nitaku-esiemuesi