Family Marriages VS Love Marriages: Which is which?!

kilichokuwa kinafanyika ni tathmini tu mzee mwenzangu!kwa maisha ya sasa arranged marriages haziwezi kuwa into application.ni maeneo machache sana.hoja hapa ni kwamba hizi family marrieges zimeonekana kuwa successful kwa kipindi chake ukilinganisha na hizi ndoa za mapenzi.ndoa za mapenzi zimeleta na zinaendelea kuleta matatizo makubwa sana.

TUFANYE NINI SASA?...mj1 ameeleza vizuri.mimi kueleza kwa ungwine siwezi,labda kwa formula.lakini mj1 nimemkubali amenielewa mapema zaidi.kaizer..HAJANIELEWA:D
more ethical!
 
Ngoja nifwatilie mtiririko wa homeboi wangu Kaizer.....:Z!
Mi bwana sina haja ya kutiririka. Mi napendelea ndoa za kutongozana wenyewe kwa wenyewe. Yakiwashinda hauna wa kumlalamikia. Hapo ndipo ile dhana ya KUDUMISHA MILA kabla ya kuoana inapoplay part kubwa! Lakini ile ya kutafutiwa................... Hapana kwakweli. Mtanisamehe!

Ndio maana nasema ni mengi yamekwisha badilika kiasi kwamba hatuwezi tena apply ya kutafutiwa. But ungeishi kipindi kile wala usingeona tabu na maisha yangekuwa kawaida tu. Kwa sasa watu tunaply na feelings zetu zaidi ya reasonings so unawezakuta mtu anafuata feelings zake zaidi ya upeo wa kufikiri ambao pengine unamwonyesha alama za nyakati but anazifumbia macho kwa kuwa amependa. Lakini wa kuchaguliwa mtu unaanza kwanza na assessment ya mambo muhimu kama tabia then ndo unadevelop feelings za mapenzi kwa maana hiyo ni nadra sana kujamchukia mtu kwa kigezo cha tabia hapo baadae.
 
kilichokuwa kinafanyika ni tathmini tu mzee mwenzangu!kwa maisha ya sasa arranged marriages haziwezi kuwa into application.ni maeneo machache sana.hoja hapa ni kwamba hizi family marrieges zimeonekana kuwa successful kwa kipindi chake ukilinganisha na hizi ndoa za mapenzi.ndoa za mapenzi zimeleta na zinaendelea kuleta matatizo makubwa sana.

TUFANYE NINI SASA?...mj1 ameeleza vizuri.mimi kueleza kwa ungwine siwezi,labda kwa formula.lakini mj1 nimemkubali amenielewa mapema zaidi.kaizer..HAJANIELEWA:D


dah...mi narudia tena kusoma mwanzoni nione kama yenyewe inahitaji kueleweka ama hata yenyewe (mada) haieleweki:D:D

Marriage as aninstitution has been subject to changes in temporal and spatial dimensions-in any given society. We cannot blame ourselves for this....as it is just a natural process of change. we can modify the changes, but we cannot stop them.

As for our society, we are praising the traditional/arranged marriages of the past (of which some few tribes still uphold them) while, at the same time, playing down the un-equal sharing of the marriages' costs and benefits. While, in many occasions the MAN assumes a dominant role, the WOMAN is usually the subject of prejudice, hard work and little respect from the MAN's family-given the hefty dowry paid.

On the contrary, 'modern' marriages would involve a voluntary unione of a man and woman to live as husban and wife with minimum external influence, be if from parents or friends/relatives.

There is no evidence that if the past society with the traditional marriages was expesoed to the current level of development and technology, the same wouldn't have occured.(i.e the alleged cheating and mistrust in modern marriages)

Therefore, I would say that while we are craving for the past marriages, it is important that we understand the changes that have occurred over time and the consequences of the changes. More importantly we should embrace the basic ingredients of any relationship: LOVE, TRUST, and RESPECT. No marriage would fall if these three are present.
 
kilichokuwa kinafanyika ni tathmini tu mzee mwenzangu!kwa maisha ya sasa arranged marriages haziwezi kuwa into application.ni maeneo machache sana.hoja hapa ni kwamba hizi family marrieges zimeonekana kuwa successful kwa kipindi chake ukilinganisha na hizi ndoa za mapenzi.ndoa za mapenzi zimeleta na zinaendelea kuleta matatizo makubwa sana.

TUFANYE NINI SASA?...mj1 ameeleza vizuri.mimi kueleza kwa ungwine siwezi,labda kwa formula.lakini mj1 nimemkubali amenielewa mapema zaidi.kaizer..HAJANIELEWA:D

Aaaa! Na wewe king'ang'anizi sana bana! Wengine kuandika maneno meeeengi huwa hatuwezagi.
Yale mamndoa yalikuwa hayavunjikagi kwasababu ya heshima kwa wazee lakini si kwa sababu ya mapenzi:
Imagine:
Mi na MJ1 ni marafiki sana. Na watoto wetu wanaujua urafiki wetu. Na jamii inayotuzunguka inatambua hilo. Tukakaa na Mj1 wangu tukaarenji ili urafiki wetu udumu kijana wangu amuoe binti wa Mj1. Watoto wale hata kama hawapendani watajikuta wanadumisha ndoa yao ili tu kutuplizi wazazi wao na jamii inayowazunguka. Kwa hiyo zile bana zilikuwa zinadumu kwa sababu ya kuweka heshima.

Hizi za kwetu hizi. Mi na mama matesha wangu tumekamatana chuo au sehemu yoyote ile iwe kazini au wapi sijui. Tukamegana tukanogewa. Tukaamua kufunga ndoa. Wazazi wanafanya kutumuwa nauli ili waje washuhudie harusi. Mi natokea Malampaka na Mama Matesha anatokea Bunena. Tukizodoana kila mtu anachukua hamsini zake. Hakuna wa kumlaumu mtu au wa kumlindia mtu heshima. Thats why hizi ndoa za kichipolopolo kuvunjika ni kitu cha kawaida sana!

Sijui nimeeleweka? Ngoja niangalie kama ntakamata senksi hapa!
 
dah...mi narudia tena kusoma mwanzoni nione kama yenyewe inahitaji kueleweka ama hata yenyewe (mada) haieleweki:D:D

Marriage as aninstitution has been subject to changes in temporal and spatial dimensions-in any given society. We cannot blame ourselves for this....as it is just a natural process of change. we can modify the changes, but we cannot stop them.

As for our society, we are praising the traditional/arranged marriages of the past (of which some few tribes still uphold them) while, at the same time, playing down the un-equal sharing of the marriages' costs and benefits. While, in many occasions the MAN assumes a dominant role, the WOMAN is usually the subject of prejudice, hard work and little respect from the MAN's family-given the hefty dowry paid.

On the contrary, 'modern' marriages would involve a voluntary unione of a man and woman to live as husban and wife with minimum external influence, be if from parents or friends/relatives.

There is no evidence that if the past society with the traditional marriages was expesoed to the current level of development and technology, the same wouldn't have occured.(i.e the alleged cheating and mistrust in modern marriages)

Therefore, I would say that while we are craving for the past marriages, it is important that we understand the changes that have occurred over time and the consequences of the changes. More importantly we should embrace the basic ingredients of any relationship: LOVE, TRUST, and RESPECT. No marriage would fall if these three are present.

Homeboy hivi ulinambiaga ulizaliwa Birmingham au London?
 
nimewarestisha! pamoja na sala za mchumba na mamushka! wakashindwa!

sasa geoff naona anatuchokoza tu hapa ili mradi tuseme..wino si utaisha bana!

Hahaha! Huyu kijana bana! Anaondoa gari na gia namba nne!
 
dah...mi narudia tena kusoma mwanzoni nione kama yenyewe inahitaji kueleweka ama hata yenyewe (mada) haieleweki:D:D

Marriage as aninstitution has been subject to changes in temporal and spatial dimensions-in any given society. We cannot blame ourselves for this....as it is just a natural process of change. we can modify the changes, but we cannot stop them.

As for our society, we are praising the traditional/arranged marriages of the past (of which some few tribes still uphold them) while, at the same time, playing down the un-equal sharing of the marriages' costs and benefits. While, in many occasions the MAN assumes a dominant role, the WOMAN is usually the subject of prejudice, hard work and little respect from the MAN's family-given the hefty dowry paid.

On the contrary, 'modern' marriages would involve a voluntary unione of a man and woman to live as husban and wife with minimum external influence, be if from parents or friends/relatives.

There is no evidence that if the past society with the traditional marriages was expesoed to the current level of development and technology, the same wouldn't have occured.(i.e the alleged cheating and mistrust in modern marriages)

Therefore, I would say that while we are craving for the past marriages, it is important that we understand the changes that have occurred over time and the consequences of the changes. More importantly we should embrace the basic ingredients of any relationship: LOVE, TRUST, and RESPECT. No marriage would fall if these three are present.
hehehe!ki-blurei in the making
 
Hahaha! Huyu kijana bana! Anaondoa gari na gia namba nne!

namshangaa, eti mbu mmoja, bunduki ya nini bana? si tunampiga tu style ya Obama na kainzi kake! afu umemwona apo juu anajifanya ODM sijui ndo kitu gani?
 
hahahaha,nilijua tu lazima nifesi opozisheni.hata ODM walefesi the same constrain,lol


haya umetuambia tuchangie hoja, tumechangia sasa jibu hoja kule au ndo siesta hapa hehehehehehee
 
haya umetuambia tuchangie hoja, tumechangia sasa jibu hoja kule au ndo siesta hapa hehehehehehee
ki-blurei zen,makala kama za karugendo,lol!nisamaraizie nijibu mpendwa
 
Mimi nimesusa kabisa hii mada- ilikuwa mada nzuri sana yaani sana tu mmeiharibu!!
Waone vile na nywele zenu ka za fidodido

Isipokuwa bwana arusi!!
 
Back
Top Bottom