Familia za Viongozi wa Urusi

Familia za Viongozi wa Urusi

Hata UK. Ila Waingereza hawana mchezo mchezo, ukizileta sijuwi Sheria za kiislamu lazima ile kwako! Hakuna cha sikukuu za idd wala ashura! Kwenye makantini, ma kitimoto kama vile!
Wanadai nchi yao ya kikristu, uislamu nenda Saudia, Sudan, Yemen, Iran nk nk! Tatizo hawaendi! Hapo inashangaza kweli kweli!
Mada inazungumzia hili nyie mnazungumzia lile yani iyo chuki yenu kwa Uislamu haina dogo

Jikiteni kwenye mada kma inavosemq
 
Nilichoelewa huu Uzi, kumbe hata mataifa mengine wanaiwaza sana na kuiamini sana USA. Ndio mana wanapeleka familia zao huko.
 
Wahiyo kusoma KGB ni kuwa mtaani Tanzania na kushoka. Mada inahusu watoto wa viongozi wa Russia kuwa nje ya russia kwa kusoma na kuishi katika mataifa ambayo russia inaamini ni maadaui zake. Unapelekaje watoto wenu kwenye nchi mnayosema ni maadui alafu wao kama viongozi si ndiyo wangekuwa wa kwanza kuacha familia zao zikae na kusoma pale pale Russia. Unasemaje mtu adui yako alafu unapeleka mtoto wako akapate elimu kwa adui Tena?.
Hii Topić ni ngumu sana kwako. Sijui hata nianzie wapi kukuelimisha maana umesikiliza sana CNN.....
Ni wapi umemsikia Putin akisema West ni Adui zake?
Huyu huyu Putin aliyemwambia Clinton anataka Russia iwe NATO na Clinton akamcheka? Badili Media Kiongozi...

 
Hata Obama aliishi na kusoma Indonesia.
Assad alisoma na kuishi UK
Kim Jong Un alisoma na kuishi Switzerland.
Mwisho wa siku hao wote walirudi kuongoza nchi zao.
Ata Yesu aliishi Egypt akarudi Israel.
Naomba nikuongezee maarifa Yesu aliishi na kusoma Egypt katika chuo ambacho Sasa hivi kinaitwa "Alexandria university"😡
 
Back
Top Bottom