Pamoja Na Kutekwa Nyara, Nyumba Zao Zoooooote Zichomwe Moto. Maana Hakuna Sheria Nchini Kwetu, Hivyo Sheria Inaingia Mokononi Mwa Wananchi Wenyewe.
NDOTO ZINARUHUSIWA MARA MOJA MOJA .ENDELEENI KUOTA HAKUNA ATAKAEKAMATWA NA WATOTO WENU WATAENDA MONDULI KUSOMEA UJESHI NA CCP KWA AJILI YA KUTULINDA SISI NA MALI ZETU
Amini usiamini, endapo Kikwete ataendelea kuwakumbatia mafisadi wenzake, muda si mrefu familia za mafisadi zitakuwa zikitekwa nyara - Niger Delta style.Kurejesha nidhamu ya matumizi ya mali za umma na utawala bora.
Familia za hawa mafisadi zinaishi maisha ya kukufuru kwa fedha ambazo zilitakiwa kugharamia huduma muhimu kwa wananchi wa kipato cha chini [au wasiokuwa na kipato kabisa - usibishe wako wengi].
Tutakachofanya ni kuhakikisha kwamba kama wanataka kufaidi, basi wajifiche, wasipate raha mitaani na kutubeza sisi masikini.Ushahidi upo kwamba wameiba, lakini rais wetu mwoga anawaficha kwenye kwapa zake.Huwezi kuamini, katika utawala wake wa miaka miwili eti kamtimua Balali peke yake, tena Balali aliamua kuanza mwenyewe hakufuzwa yule.
Watu tunalaumu mawaziri na maafisa wa serikali, lakini tunasahau kwamba Kikwete ndiye kiongozi wa wote.Yeye ndiye anatakiwa kubeba lawama kwa nchi inavyokwenda mrama, isije kuwa eti mawaziri wanamwangusha,kwani yeye kalala usingizi?Fukuza mafisadi wote, Tanzania ina watu wengi wenye uwezo wa kuongoza, unaweka vibabu kama Basil Mramba, ameongeza value gani katika cabinet ya Kikwete huyu mtu?Rubbish.....
Hebu piga picha hii, mtoto wa kike wa waziri fulani ametoweka tangu jana jioni alipoenda kwenye harusi ya rafiki yake, kundi moja la kupigania maslahi ya walala hoi limedai kuhusika kwa maelezo ni adhabu kwa waziri huyo anayedaiwa kujilimbikizia mabilioni ya shilingi ambazo ni mali ya umma.
Vyombo vinavyoitwa vya sheria vimekuwa kituko, vyombo vya dola ni vya kuilinda CCM na mafisadi wake.Dawa hapa ni sisi wenyewe kuunda sheria zetu kwa manufaa ya taifa.
Nadhani hapo Kikwete ndiyo akili itamkaa vizuri, lakini kwasasa anaharibu nchi nzuri Tanzania.Tunasema, tutawateka watoto, wake na waume wa mafisadi.Hiyo itawafanya akili zenu zikae vizuri na kubaini kuwa dunia siyo yenu mkatusahau tuliowapigia kura.
Najua Kikwete na wale wote wanaoshabikia CHAMA CHA MAFISADI[CCM], watakuwa wanasoma huu waraka kwa dharau na kejeli, kama kawaida yao.Lakini kumbukeni kwamba global warming is real.
Fikra jenzi haziwezi kuwepo pale binadamu anapokosa tumaini lolote katika mambo mbalimbali iwe kijamii, kisiasa, kiafya au kiuchumi. Mtu hawezi kuwa na fikra jenzi huku hawa Majambazi wa CCM wanazidi kuibaka nchi usiku na mchana na hakuna mtu ambaye anawauliza lolote au kuwachukulia hatua zozote.HIZI JAMANI NDOTO MAANA NAONA KAMA WATU TUMEKOSA SASA FIKRA JENZI. HAIWEZEKANI UITEKE FAMILIA KISA UFISADI HAIWEZEKANI HATA AHERA HAMNA KITU KAMA HICHI. LABDA USEME MHUSIKA AFILISIWE NA ASIMAMISHWE KWENYE MAHALA PA KISHERIA KUJIBUU TUHUMA KAMA USHAHIDI KAMILIFU UPO HAPO KIDOGO NAWEZA KUKUBALI LAKINI HIZI HOJA ZA HUMU JF KWA SASA NAONA KAMA WATU WATANAKA NAO KUWA NA FONTS ZA KIJANI NAFIKIRI MNANIELEWA. LETE VITU JENZI TUMEONA NA TUMESHUHUDI MAMBO MENGI YAMELETWA NDANI YA JF NA YAMETOKEA NA YAMEKUWA CHANGAMOTO KWA SERIKALI KWELI MPKA IMETIA AKILI. HAYO NDIO TUNAYOYATAKA.
Hivi wewe KuntaKinte bado una matumaini ya vyombo vya kisheria kwamba vitafanya kazi kwa manufaa ya wananchi?Ukweli kwamba hawa mafisadi wana fedha ya mchezo, wanachofanya ni kununua sheria kwa bei rahisi kwasababu idadi kubwa ya watanzania wana njaa - WANANUNULIKA.HIZI JAMANI NDOTO MAANA NAONA KAMA WATU TUMEKOSA SASA FIKRA JENZI. HAIWEZEKANI UITEKE FAMILIA KISA UFISADI HAIWEZEKANI HATA AHERA HAMNA KITU KAMA HICHI. LABDA USEME MHUSIKA AFILISIWE NA ASIMAMISHWE KWENYE MAHALA PA KISHERIA KUJIBUU TUHUMA KAMA USHAHIDI KAMILIFU UPO HAPO KIDOGO NAWEZA KUKUBALI LAKINI HIZI HOJA ZA HUMU JF KWA SASA NAONA KAMA WATU WATANAKA NAO KUWA NA FONTS ZA KIJANI NAFIKIRI MNANIELEWA. LETE VITU JENZI TUMEONA NA TUMESHUHUDI MAMBO MENGI YAMELETWA NDANI YA JF NA YAMETOKEA NA YAMEKUWA CHANGAMOTO KWA SERIKALI KWELI MPKA IMETIA AKILI. HAYO NDIO TUNAYOYATAKA.
HAYA NI MAWAZO YA KIDIKTETA NA KINYAMA IMAGINE UMEMTEKA MDOGO WANGU WA MIAKA MITATU JAPO ANASOMA GENESIS LAKINI ANAJUA NINI JUU YA UFISADI?Badala ya kuchoma moto mali na majumba yao si bora mtaifishe kama alivyofanya mwalimu wakafaidika wengi au ndio hasira?