Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,276
- Thread starter
- #21
Mbona hueleweki unachokiandika Jeshi la Polisi wanaweza kumfikisha mtu mahakamani bila kuwa na ushahidi?mahakama ikimwachia huru mnajisifu mmeshindwa kesi?
Unashangaa mtuhumiwa kuwa huru, hizo ni akili za mbuya unga.. drug addict ndio atashangaa mtuhumiwa kuachwa huru, ni jambo la kawaida sana
Unashangaa mtuhumiwa kuwa huru, hizo ni akili za mbuya unga.. drug addict ndio atashangaa mtuhumiwa kuachwa huru, ni jambo la kawaida sana
Wee kweli bado dark headed..!!
Mahakamani unapitia tokea wapi..? njia moja wapo is thru polisi.. ndio maana wako polisi, kama watuhumiwa, polisi wakiona baadhi wana kesi ya kujibu watafikishwa court, wakiona ambao hawana kesi ya kujibu watawaacha huru..
Unashangaa mtuhumiwa kuwa huru, hizo ni akili za mbuya unga.. drug addict ndio atashangaa mtuhumiwa kuachwa huru, ni jambo la kawaida sana