habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,789
- 8,753
nipo ulidhani nimekufa, CCM mmebakiza jina tu siku hizi poleni sanaMkuu upo? Ulipotea sana jamvini! Karibu uendelee kujifunza siasa toka kwa CCM! Chama kubwa!
nipo ulidhani nimekufa, CCM mmebakiza jina tu siku hizi poleni sanaMkuu upo? Ulipotea sana jamvini! Karibu uendelee kujifunza siasa toka kwa CCM! Chama kubwa!
Hapana mkuu, nilihisi labda utakua ulijiunguza vidole wakati unapika vikasababisha ushindwe kutype! Ukiitisha uchaguzi Leo ndio utapata majibu ya hisia zako!nipo ulidhani nimekufa, CCM mmebakiza jina tu siku hizi poleni sana
Ule moshi unaovutaga umekuharibu sanaHapana mkuu, nilihisi labda utakua ulijiunguza vidole wakati unapika vikasababisha ushindwe kutype! Ukiitisha uchaguzi Leo ndio utapata majibu ya hisia zako!
nilidhani umepona huo ugonjwa kumbe bado unakusumbua, bado tunamachungu ya uchaguzi usichokonoe mambo hakuna asojua mlichokifanyaHapana mkuu, nilihisi labda utakua ulijiunguza vidole wakati unapika vikasababisha ushindwe kutype! Ukiitisha uchaguzi Leo ndio utapata majibu ya hisia zako!
Ndio maana ccm mnaambiwaga hamshirikishi ubongoSasa familia gizani kivipi? Yawezekana walikuwa na ibada muhimu nyumbani so siolazima kuwepo Simiyu. Nadhani tunatafuta makosa ya serikali kwanguvu sana,hata vya kawaida vinachochewa viwe vibayaaa pasi na kutanguliza staha hasa anapoongelewa marehemu tuliyemweshimu. Hata maadili ya kawaida tunakosa? RIP mwalimu JKN
Acha kukurupuka mkuu! Bila kulia lia chadema hua hampati amani kabisa!Ule moshi unaovutaga umekuharibu sana
Pole sana mimi si chadema bali nasimamia ukweliAcha kukurupuka mkuu! Bila kulia lia chadema hua hampati amani kabisa!
Na huyo Pasco anayetaka historia ya mwalimu si mnafiki? Mpaka uje hapa, kwa nini usiende Butiama au Msasani? Mme wangu afanyiwe kumbukumbu halafu watu wengine waanze sherehe bila mimi na watoto kualikwa? It does not add up unless kulikuwa na udhuru ila Madaraka kasema yeye binafsi hakupata mwaliko. Tuwaulize akina Anna na Rose labda wana habari.Sasa Pasco we unafikiri huyu jamaa zinamtosha kichwani kwake????????? We unafikiri Familia yake ataiendesha vipi asipo leta unafiki humu ndani??????HAKUNA MWANAJAMII FORUMU MUONGO KAMA HUYU JAMAAA........
Ukweli kwa upande wa Chadema!Pole sana mimi si chadema bali nasimamia ukweli
Maadhimisho ya miaka 17 ya kumbukumbu ya kifo cha Mwalimu Julius Nyerere yaliyofanyika jana mjini Bariadi mkoani Simiyu jana bila kuwapo wa familia ya mwasisi huyo wa Taifa.
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka alisema Oktoba 5, mwaka huu Mama Maria Nyerere alikuwa miongoni mwa waalikwa katika sherehe hizo na mipango kwa ajili ya malazi yake na msafara ilikuwa imeandaliwa.
Katika mipango ya awali, mama Maria na msafara wake alipangiwa kufikia katika nyumba za halmashauri ya mji wa Bariadi zilizoko eneo la Nyamuata kabla ya kuhamishiwa katika hoteli mpya ya Sumayi katikati ya mji wa Bariadi.
baadae walipewa taharifa wenye hoteli hiyo kuwa ugeni huo hautafika tena bali viongozi kutoka zanzibar wangetumia hoteli hiyo ambapo nao pia walitii agizo la mh rais la kutokwenda huko.
Akihojiwa na vyombo vya habari mtoto wa nyerere (Madaraka Nyerere) akiongea sababu ya kutofika kwenye sherehe husika alisema.
"Yeye binafsi hakuona mwaliko wowote wa serikali ulioletwa kwenye familia yao wa kuhudhuria kwenye maadhimisho hayo labda kama kuna wanafamilia wengine walipewa"
Chanzo; mwananchi
swali,, Je serikali imeshasahau umuhimu wa familia ya nyerere hasa hasa mama malia nyerere?
Ndiyo zake huyo amezidi sasaMkuu Mwanahabari Huru, hili ni bandiko la uchonganishi ni sawa na uchochezi. Kualikwa kwa Mama Maria kulikuwa ni favour tuu, sasa hiyo favour unataka kuifanya ni right! .
Pasco
Sasa Pasco we unafikiri huyu jamaa zinamtosha kichwani kwake????????? We unafikiri Familia yake ataiendesha vipi asipo leta unafiki humu ndani??????HAKUNA MWANAJAMII FORUMU MUONGO KAMA HUYU JAMAAA........
Why talking on behalf of others if you do not belong in that group!!?Who are you to judge the IQ of JF members?
Huenda wewe ndiye umeshindwa kumwelewa Pasco!!
One of your problem is forgetting what you post. Go back to your post to understand why I made such a comment.Why talking on behalf of others if you do not belong in that group!!?
Hata Mwanahabari ameandika sio kwamba kwa vile ilikuwa right, bali kwa kuwa tayari RC aliishataarifu kuwa Mama Maria na familia ya Nyerere ingehudhuria!Mkuu Mwanahabari Huru, hili ni bandiko la uchonganishi ni sawa na uchochezi. Kualikwa kwa Mama Maria kulikuwa ni favour tuu, sasa hiyo favour unataka kuifanya ni right! .
Pasco