PISTO LERO
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 2,819
- 1,454
Katika hali ya kushangaza familia ya ndugu ally imelalamika kuwa imetalekezewa msiba kwani haijapewa msaada wowote toka chama cha demokrasia na maendeleo.
Wala taasisi yeyote ya serikali kufuatia msiba wa ndugu yao aliyefariki katika ghasia zilizotokea kati ya polisi na wafuasi wa Chadema.
Msemaji huyo wa familia amelalamika kuwa hakuna kiongozi yeyote wa Chadema aliyewasaidia hata kusafirisha mwili wa marehemu hadi ulipofika nyumbani kwao mkoani tanga.
kufuatia hali hiyo katibu wa Chadema mkoa wa tanga alipo ulizwa kulikoni hawajatoa msaada wowote kwa familia ya marehemu.
Katibu huyo alisema alipokea maagizo kutoka Chadema makao makuu kwaajili ya kushughulikia msibahuo toka mwanzo hadi mwisho,lakini imekuwa vigumu kwani walikosa kabisa ushirikiano na familia hiyo.
Katibu huyo aliendelea kulalamikia familia hiyo kuwa walijitenga nao kwani kila mwanafamilia aliye fwatwa kwaajili kufanikisha safari hiyo ya mwisho Ng.Ally walikwepa na kila mmoja akisea hausiki na maswala hayo.
Katibu huyo aliendelea kusema bado hawajakata tamaa na kuwa bado wanaendelea na juhudi za kutafuta mawasiliano na familia hiyo.
KWAKO TUMAINI MAKENE CHAMA KINASEMAJE JUU YA HILI,LISIJE LIKACHAFUA SURA YA CHAMA CHETU.
CHANEL 10
Wala taasisi yeyote ya serikali kufuatia msiba wa ndugu yao aliyefariki katika ghasia zilizotokea kati ya polisi na wafuasi wa Chadema.
Msemaji huyo wa familia amelalamika kuwa hakuna kiongozi yeyote wa Chadema aliyewasaidia hata kusafirisha mwili wa marehemu hadi ulipofika nyumbani kwao mkoani tanga.
kufuatia hali hiyo katibu wa Chadema mkoa wa tanga alipo ulizwa kulikoni hawajatoa msaada wowote kwa familia ya marehemu.
Katibu huyo alisema alipokea maagizo kutoka Chadema makao makuu kwaajili ya kushughulikia msibahuo toka mwanzo hadi mwisho,lakini imekuwa vigumu kwani walikosa kabisa ushirikiano na familia hiyo.
Katibu huyo aliendelea kulalamikia familia hiyo kuwa walijitenga nao kwani kila mwanafamilia aliye fwatwa kwaajili kufanikisha safari hiyo ya mwisho Ng.Ally walikwepa na kila mmoja akisea hausiki na maswala hayo.
Katibu huyo aliendelea kusema bado hawajakata tamaa na kuwa bado wanaendelea na juhudi za kutafuta mawasiliano na familia hiyo.
KWAKO TUMAINI MAKENE CHAMA KINASEMAJE JUU YA HILI,LISIJE LIKACHAFUA SURA YA CHAMA CHETU.
CHANEL 10