Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,485
- 9,515
Nilimsikia Dr Slaa, kwenye taarifa ya habari akiongea na waandishi wa habari alisema anasubiri ripoti ya Daktari kuhusu mwanachama wao Ally...kumbe ulikuwa usanii mtupu siasa bana.
Hata wewe!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilimsikia Dr Slaa, kwenye taarifa ya habari akiongea na waandishi wa habari alisema anasubiri ripoti ya Daktari kuhusu mwanachama wao Ally...kumbe ulikuwa usanii mtupu siasa bana.
Chadema mmestukiwa, mnaua halafu mnajipendekeza kusaidia shughuli za mazishi na kutupia lawama serikalini. Ole wenu siku yaja nayo i-karibu, mtaulizwa habari ya wangwe, rejia n.k. na mtakosa la kujibu.
ndugu wa marehemu walikataa maiti ya ndugu yao ally kuwekwa hadharani, chadema walitaka kutumia msiba kufanya siasa, ndugu wakawaambia sheria ya dini yetu hairuhusu kuaga maiti kama hamtaki anza mbele. wakaondoka kuelekea iringa kufanya vurugu wapate maiti nyingine.
Bwana we hawa magamba na wafuasi wao kazi kuzusha tu mambo na kughilibu umma. Hata hawaelewi hizi ni enzi za sayansi na technologia! Sasa wameumbuka sijui wanasemaje kwa kielelezo dhahiri kama hiki. Naona mashavu yamewashuka kwa aibu. Dawa ya hawa watu ni kuwapeleka puta kwa kutumia sayansi na technologia ili wakome kuendeleza uzushi.
serikali itauaje wakati aliekuwa na maandamano ni chadema
We ni mpumbavu kweli sijawahi ona yani unatumika bila hata kujua??? Nape siku hizi kasitisha halipi tena acha ujinga kilaza weweccm haiwezi kuua lakini chadema wanakuja kasi kweli,walianzia na chacha wangwe,wakaua raia watatu arusha wakaenda igunga wakala mmoja na mwingine wakammwagia tindikali.majuzi wakaua iramba na sasa ally wa morogoro.waha jamaa ni mafia kweli kweli.
ndugu wa marehemu walikataa maiti ya ndugu yao ally kuwekwa hadharani, chadema walitaka kutumia msiba kufanya siasa, ndugu wakawaambia sheria ya dini yetu hairuhusu kuaga maiti kama hamtaki anza mbele. wakaondoka kuelekea iringa kufanya vurugu wapate maiti nyingine.
Pole, wewe na ccm lenu mojandugu wa marehemu walikataa maiti ya ndugu yao ally kuwekwa hadharani, chadema walitaka kutumia msiba kufanya siasa, ndugu wakawaambia sheria ya dini yetu hairuhusu kuaga maiti kama hamtaki anza mbele. wakaondoka kuelekea iringa kufanya vurugu wapate maiti nyingine.
Policcm walipoua watu Arusha walijaribu kuwarubuni familia za marehemu bila mafanikio kutokana na msimamo wa familia za wafiwa.
Policcm walipoua watu nyamongo Tarime walijaribu kuwarubuni familia za wafiwa bila mafanikio hatimaye wakaamua kupora miili ya marehemu na kwenda kuitelekeza porini na barabarani.
Policcm wameua mtu morogoro kama kawaida yao wamejaribu kuirubuni familia ya marehemu na hatimaye wamefanikiwa na sasa tunashuhudia vibweka toka kwa ndugu wa marehemu!
Kama huna cha kujibu ndugu si uwe unapita tu, Hivi kifo kikitokea katika maandamano yaliyofyatuliwa risasi na polisi(Serikali) basi basi walioua ni wenye maandamano kweli fikra zako ndugu ni fupi kama ID yako inavyojionyeshaserikali itauaje wakati aliekuwa na maandamano ni chadema
Ni wadhaifu sana ndio maana wanakurupuka na kuropoka manbo ya uzushi.
Mtaji wa ccm vilikuwa ni umaskini na ujinga wa wananchi wa Tz. M4C imefanya kazi na kwa sehemu kuna mafanikio. Lakini nina masikitiko kwa baadhi ya wanafamilia ya marehemu Ally kudhihirisha kuwa kazi ya ukombozi bado inahitajika iongezwe zaidi. Wamekubali kutumiwa na ccm malipo ya kipande cha mkate na kumsaliti marehemu ndugu yao. Hao waliofanya unafiki huu tutasikia mwisho wao, hauwezi kuwa mzuri hata kidogo.
inaonekana chadema wana agano na israili hufi mpaka wakue wenyeweChadema mmestukiwa, mnaua halafu mnajipendekeza kusaidia shughuli za mazishi na kutupia lawama serikalini. Ole wenu siku yaja nayo i-karibu, mtaulizwa habari ya wangwe, rejia n.k. na mtakosa la kujibu.
Chadema walimpeleka Rose Mhando kuimba kwenye msiba wa Ally!
ndugu wa marehemu walikataa maiti ya ndugu yao ally kuwekwa hadharani, chadema walitaka kutumia msiba kufanya siasa, ndugu wakawaambia sheria ya dini yetu hairuhusu kuaga maiti kama hamtaki anza mbele. wakaondoka kuelekea iringa kufanya vurugu wapate maiti nyingine.