Afrika Kusini wakati wa utawala wa Zuma familia ya Gupta ilikuwa na uswahiba usiokuwa na afya na mtoto wa rais huyo.
Hii ikapekekea ufisadi mkubwa Sana kufanyika serikalini kupitia tenda zilizokabidhiwa kwa familia hiyo.
Hivi Sasa Kuna ufisadi unaowekwa wazi na CAG hapa Tanzania lkn mamlaka zinqpata kigugunizi kuchukua hatua.
Ndiyo maan tunajiuliza kuna Gupta family hapa Tanzania inayomsumbua rais Samia??
Hii ikapekekea ufisadi mkubwa Sana kufanyika serikalini kupitia tenda zilizokabidhiwa kwa familia hiyo.
Hivi Sasa Kuna ufisadi unaowekwa wazi na CAG hapa Tanzania lkn mamlaka zinqpata kigugunizi kuchukua hatua.
Ndiyo maan tunajiuliza kuna Gupta family hapa Tanzania inayomsumbua rais Samia??