Huyu ni kaka tu, kwanini mwandishi hakuenda kumhoji mke wa Mwamnyange Monica Lyanda? Inashangaza kidogo!! Mbona Mwmnyange yuko kimya sana huko aliko? Hajapata habari kuwa kuna habari mkanganyiko huku na watanzania wanataka kujua ukweli wa mambo? Anyway time will tell and the truth will be unveiled soon.
View attachment 298881
Familia ya Mkuu wa Majeshi General Davis Mwamunyange imetoa kauli mara baada ya sintofahamu inayoendelea Mitandaoni Kuhusu Mkuu huyo wa Majeshi, Familia ya CDF Mwamunyange:
Yupo nje ya nchi kwa majukumu ya Kitaifa. Akizungumza kwa Niaba ya Familia Kaka Yake Davis Mwamunyange amethibitisha Mdogo wake anaendelea na Majukumu yake yupo Nje ya Nchi na anatarajiwa Kurudi Nchini siku za Karibuni.
Ni baada ya taarifa kuzagaa mitandaoni juu ya kulishwa sumu kwa mkuu huyo.
Familia imesema anaendelea vizuri na yupo nje ya nchi kwa majukumu ya kitaifa.