Uhuru wa kutoa mawazo yetu hatujapewa na huyo Kikwete wako, Tumepewa na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mbona umepanic namna hiyo. reconcile na ubongo wako kwanza, achana na fikra za mazoea.Mbowe asipokuwepo chadema in-charge anakuwa nani? Nadhani jamii forums imeingiliwa kuna watu humu ndani nadhani umri wao pengine ni chini ya miaka 12. Maswali gani haya wanauliza?Upo wakati nilitaka kujitoa JF kwa upuuzoi kama huu wa hoja na maswali yasiyo na kichwa wala mguu. Hivi ni swali gani hili la kuuliza kuwa eti asipokuwepo CDF ni nani anakuwa in-charge. Hivi asipokuwepo rais wa nchi ni nani in-charge. Asipokuwepo mkuu wa taasisi ni nani in-charge. Ni maswali ya ajabu kabisa. Hawa UKAWA wanaleta utamaduni mpya katika nchi hii. Ni vema wadhibitiwe mapema. Hawajui hata taasisi zinaendeshwaje. Hawasomi vitabu wala journals. kazi yao ni kupinga each and everything. Wao kutoheshimu mamlaka ndiyo itikadi na sera. Rubbish. Hatuwezi kuwa na nchi ya aina hii, ya watu wasiofikiri. Kwao kufagia barabara ili apite LOWASSA ndiyo mtaji. Kujikusanya uwanjani kwa mamia na maelfu eti ndio mafuriko na ndio ushindi. Umati ule wa magufuli eti ni wa kupikwa na ule wa LOWASSA ndio uhalisia. Hatuwezi kuwa na taifa la watu wasiofikiri. Kuzomea barabarani msafara wa magufuli au samia eti ndio watanzania wameamua kukataa CCM. Yaani wahuni 300 wamekusanywa wajipange barabarani kumzomea magufuli eti kwao ndi watanzania hawaitaki CCM. Wamefunikwa na illussions na emotions. Niliwahi kumuuliza kijana mmoja aliyeahi kutumia madawa na sasa ameacha kutumia madawa hayo ya kulevya kwamba wakati anatumia madawa hayo alikuwa anajisikiaje. Jibu lake lilikuwa ni kuwa alikuwa anajiona kuwa yuko pamoja na Rais George Bush wa Marekani (wakati huo) wakipanga mipango ya namna ya kuongoza dunia. ILLUSIONS.Hao ndio UKAWA, wana ndoto a ajabu.
View attachment 298881
Familia ya Mkuu wa Majeshi General Davis Mwamunyange imetoa kauli mara baada ya sintofahamu inayoendelea Mitandaoni Kuhusu Mkuu huyo wa Majeshi, Familia ya CDF Mwamunyange:
Yupo nje ya nchi kwa majukumu ya Kitaifa. Akizungumza kwa Niaba ya Familia Kaka Yake Davis Mwamunyange amethibitisha Mdogo wake anaendelea na Majukumu yake yupo Nje ya Nchi na anatarajiwa Kurudi Nchini siku za Karibuni.
Ni baada ya taarifa kuzagaa mitandaoni juu ya kulishwa sumu kwa mkuu huyo.
Familia imesema anaendelea vizuri na yupo nje ya nchi kwa majukumu ya kitaifa.
Inawezekana!
na kwanini iwe wewe si familia ya mwamunyange inayolalama kama unavyoendelea kudai hiyo sintofahamu yako
hutojua na utaendelea kutojua tu. Kwasababu yule sio mamaako wala babaako. Na nafasi yako ndan ya nchi hii ni sawa na chawa tu. Sasa chawa anaumuhimu gani wa kujua mstakabali wa taifa hili?
Kwa nini huyo Mwamunyange hajitokezi hadharani mwenyewe akanushe!!????
Kuna nini!!!????
Hata Yale ya Mgimwa mke alikanusha, achilia mbali hii ya kaka na dada..Hamuiamini serikali, sasa Familia yake imesema General yuko salama na bado yupo nje ya nchi kikazi.
Kaka yake Kapteni Aden Mwamunyange na Dada yake wamesema huo uzushi unawaumiza kama family .
Source: ITV
ww nafasi ni kama fisi ktk nchi hii unanuka mizoga
Aongee Mwamunyange sio Mtu mwingine yeyote
Nimeangalia habari, hakuna sehemu wala wakati neno chadema imetajwa na ndugu wa Mwamunyange. Acha ushabiki usio na tija. Mtu kusema 'wanasiasa' haimaanishi ni chadema unless uniambie vyama vingine nchini siyo vya siasa!
Hata Yale ya Mgimwa mke alikanusha, achilia mbali hii ya kaka na dada..
Mkuu kwamba yuko kama Fisi. Hahaa hahaha hahaaaa.
Tungeamini kama wangesema kutoka nyumbani kwake yaani mke na watoto,pili wangesema kaenda nchi gani na anarudi lini..
Sawa lakini kwakuwa si kawaida awe nje ya nchi wakati wa uchaguzi,tunatarjia kumuona nchini kabla ya uchaguzi