Waberoya, nitashukuru sana, pls.
Annina
Dear Annina, I am not sure how you will handle this information, wengine wanatukana,, kusonya au kubisha, ila mimi nasema ukweli wa nililoliona kwa macho yangu, kupapasa kwa mikono yangu!
Kuna wagonjwa ambao nimewaona wakipona ugonjwa huu kwa jina la Yesu. Nilikuwa katika timu ya maombezi nikiwa Tz, kuna wagonjwa walikuwa wakija kanisani hawawezi kabisa, baada ya maombi wakapona kabisa, wengine huwezi hata kuwatambua tena kuwa walikuwa wanaumwa.Kuna mchungaji anaitwa Tosha yuko Mwanza yeye ndiye alileta hii semina na watu tukaiweka katika practise
Nimesema nimeona kwa macho yangu maana pale kanisani walipoanza kuombewa wagonjwa wa awali baadaye kanisa likabadilika na kuwa kituo cha wagonjwa, wengi walikuja na wengi walipona, wako ambao hawakupona, I can not say anthing about that, wako walioombewa na kwa bahati mbaya wakafariki ila wengi wao walikuwa wanakuja too late wakati ubongo umeshashambuliwa kiasi cha mtu kutokuwa na imani au kutoelewa unamweleza nini.
Nakuambia ili hao ndugu 2 wawe mashuhuda wa matendo makuu ya Yesu faida watakazopata.
1. watapata kuona na kushuhudiwa bila uoga na wenzao waliokuwa wakiumwa ukimwi hapo awali na wakapona
2. hawatakuwa discriminated kutokana na kuona wenzao wote ni wa aina hiyo
3. watapata tumaini jipya
Narudia, nasisitiza ninachoongea hapa si fiction is reality with my degrees in engineering; I do believe Jesus heals, Nasema hivyo kwa sababu watu huwa hawaamini, mwanzoni hata mie sikuwa naamini mpaka nilivyokuwa mmoja wa waombezi; wako waliokuwa rafiki wa karibu wakaombewa wakapona, wakapima majibu negative na leo wameolewa na kuoa,
wako wanaopima na kukuta negative, wako wanaopima na kukuta bado wana wadudu, japo hali zao zimebadilika; wako wasiotaka kabisa kupima na kuamini wamepona na kweli unaona hali zao. Hii inatokana na tofauti ya Imani, kwani pastors ni initiators tu wa imani ya uponyaji, they are not expert of healing!
Kuna watu walienda hawatembei, wamebebwa, dhaifu, magonjwa yote ya ukimwi, lakini tukaona wanabadilika na furaha na tumaini lao la kuishi kurejea tena. for those 2 people najua watakuwa mashuhuda wakisema ni ''sisi tu tumepona kuleta habari''
Dear Annina it is certain a new thing, unbelievable and you may shock you as well.But believe, I am not drunk! my senses are working perfectly beyond doubt, I am not dreaming either! I am telling something that my n-a-k-e-d eyes saw!. Please be one of people who will witness this in this very world!
Kanisa hilo liko changanyikeni mbuyuni, nyuma ya chuo kikuu cha DSM simu ya mchungaji ni 0754 454517.Mimi siko hapo, niko Canada hivi sasa. hakuna gharama zozote! wakifika watapokelewa na kuhudumiwa!
Just convince them to go, give them this number let them see this pastor and I am sure their agony of fear and pain will be history! I guess you want this!