Falme za Kiarabu zilivyomiliki maeneo makubwa Sudan

officialBossmtoto

JF-Expert Member
Jul 1, 2019
369
1,178
Wasaaaalam wana jamvi. Nilitamani sana uzi huu ungeandikwa na [mention]Mshana Jr [/mention] lakini acha nililete mimi mwanakwetu kanjanja.

Nimeikuta hii huko mitandaoni

Falme za Kiarabu (Ghuba za Uarabuni) zimejizatiti kuhakikisha zinamiliki maeneo makubwa ya wazi kwenye nchi za Africa kwa ajili ya kuweza kupata shehena ya mazao ya kuweza kuendelea kulisha wananchi wake.



Hii ni documented video ikijadili kwa juu juu tu jinsi UAE inavofanya shughuli zake za kilimo nchini Sudan.

Unaambiwa kampuni ya JENAAN inamiliki eneo lenye ukubwa wa zaidi ya KILOMETA ZA MRABA 2800. Kwa wale tuliozoea hesabu za Heka (Acres) hizo ni karibia hekari 700,000.
View attachment 2256652

Baadhi ya Raia wamekua wakilalamika na kukosoa miradi hii wakisema ni miradi kandamizi na inadhoofisha uchumi wa nchi yao kwani faida yote hubebwa ma kupelekwa arabuni.

IMG_4106.jpg



Wapo pia waliolaumu kunyang’anywa makazi yao, sehemu ambayo waliishi vizazi na vizazi ila waliondolewa ili kupisha miradi hii.

IMG_4107.jpg



Leo tujifunze hili. Dunia ina miaka Mingi sana na kila siku inazidi kupata uzoefu wa mengi. Tuliambiwa tusimuamshe alolala, ila skuizi ukilala kidogo unafumbwa na pumzi ufe kabisa.

SIO NAKALA ZANGU MIMI NIMEWASILISHA TUU KUTOKA KWA VYANZO VIFUATAVYO

1) Sucked Dry

2) UAE has over 2,800 sq km in Sudan farms

3)Video tuliopost hapo juu.View attachment 2256653
 
Kama umeamua kutafsiri makala tafsiri vzuri, UAE maana yake kwa kiswahli ni umoja wa falme za kiarabu, Na sio "ghuba za arabu"
Ghuba za arabuni ni kitu kingine kabisa ki jiografia.
 
Kama umeamua kutafsiri makala tafsiri vzuri, UAE maana yake kwa kiswahli ni umoja wa falme za kiarabu, Na sio "ghuba za arabu"
Ghuba za arabuni ni kitu kingine kabisa ki jiografia.

Ila maana kamili ya ujumbe uneipata mkuu na hilo ndo ninaloshukuru.

Ukiangalia sijatafsiri popote mimi nimechambia
 
Wasaaaalam wana jamvi. Nilitamani sana uzi huu ungeandikwa na [mention]Mshana Jr [/mention] lakini acha nililete mimi mwanakwetu kanjanja.

Nimeikuta hii huko mitandaoni

Falme za Kiarabu (Ghuba za Uarabuni) zimejizatiti kuhakikisha zinamiliki maeneo makubwa ya wazi kwenye nchi za Africa kwa ajili ya kuweza kupata shehena ya mazao ya kuweza kuendelea kulisha wananchi wake.



Hii ni documented video ikijadili kwa juu juu tu jinsi UAE inavofanya shughuli zake za kilimo nchini Sudan.

Unaambiwa kampuni ya JENAAN inamiliki eneo lenye ukubwa wa zaidi ya KILOMETA ZA MRABA 2800. Kwa wale tuliozoea hesabu za Heka (Acres) hizo ni karibia hekari 700,000.
View attachment 2256652

Baadhi ya Raia wamekua wakilalamika na kukosoa miradi hii wakisema ni miradi kandamizi na inadhoofisha uchumi wa nchi yao kwani faida yote hubebwa ma kupelekwa arabuni.

View attachment 2256643


Wapo pia waliolaumu kunyang’anywa makazi yao, sehemu ambayo waliishi vizazi na vizazi ila waliondolewa ili kupisha miradi hii.

View attachment 2256644


Leo tujifunze hili. Dunia ina miaka Mingi sana na kila siku inazidi kupata uzoefu wa mengi. Tuliambiwa tusimuamshe alolala, ila skuizi ukilala kidogo unafumbwa na pumzi ufe kabisa.

SIO NAKALA ZANGU MIMI NIMEWASILISHA TUU KUTOKA KWA VYANZO VIFUATAVYO

1) Sucked Dry

2) UAE has over 2,800 sq km in Sudan farms

3)Video tuliopost hapo juu.View attachment 2256653
Usibishane na mwenye pesa kisha akakutana na mlafi asiye na uzalendo.. Wapigao kelele ni masikini wasio na maamuzi
Wengine ni wale wenye nafasi ya kusikika mbali ambao ama wanyamizishwe kwa shekeli ama kwa kabali
 
Back
Top Bottom