Fallen angels/watchers/Annunaki ndio hao hao Alliens

Fallen angels/watchers/Annunaki ndio hao hao Alliens

Soma vizuri tena hicho kitabu mkuu.aliens hawawezi kua fallen angels kwasababu kwa mujibu wa kitabu hicho hao kina Azazel na samyaza walifungwa wanangoja ile siku kuu ya hukumu kwa wote
Na pia mkuu hao malaika hawawezi kuzaliana maake kwa mujibu wa kitabu cha Enoch,,Mungu aliwafanya wao kwa wao wauane na kizazi chao kisiwepo.na pia Mungu aliwaambia hao fallen angels kua wataona wapendwa wao yani hao watoto waliowapata kwa wanadam lakini hawatawamiliki wataona kuanguka kwako
 
Yote yasemwayo ni mawazo ya watu walio tangulia si mambo yenye uthibitisho, muda ni hakimu mzuri, tuzidi kusubiri huku tukiishi maisha yetu, maana hata wakija sanasana italeta hofu tu, si kwamba watakuja kama wajomba zetu kuja kutusalimia, tujali yaliyopo hasa yanayotuhusu kama binadamu.
 
Tatizo historia halisi inakinza na imani zetu maana hakuna uhusiano wa malaika (fallen angels) na viumbe wageni (alien) wa ufo (unknownobjecf fly)
 
Back
Top Bottom