Mkuu ile F ya kwenye mathe walikuonea kumbe? Dah......we mkareeeeee!!!
Hiyo hesabu inabidi kudifferentiate either sides
hapo mkuu nmetumia pai tu sikutaka kutumia log.haya mambo nayaweza sana.kama kusukuma mlevi tu.mia
ukidifferentiate haiishi...dawa ni kufanya integration!!!!
Hiyo hesabu inabidi kudifferentiate either sides
Bado tu mmeshindwa kutoa jibu la mana!!
Nipeni mji!!
Mkuu ile F ya kwenye mathe walikuonea kumbe? Dah......we mkareeeeee!!!
aisee yote kwa yote huyu maza mtata.samtaim ana ma-noleji ya kufa mtu.ila ni gamba la kudumu.