cesilia
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,233
- 1,243
wakikujibu niite nije nione hizo kaziKuonyesha madole ya matusi ndio kuchapa kazi??
wakikujibu niite nije nione hizo kaziKuonyesha madole ya matusi ndio kuchapa kazi??
Labda kafuatilia matumizi ya mtoto.Juz nimemuona Mbeya
Bunge eneo la mafichoni , Umma atukushuhudia lakini huyo mwanamke kaonyesha makalio tupo na familia zetu. AIBU gani hii na fedheha kubwa.Tatizo hapa ni eneo alilofanya KITENDO sio TENDO.
Sijui akili aliiacha wapi? maana alitafuta kiki ya kipuuzi mno
kwan anamuhusu?Kuonyesha madole ya matusi ndio kuchapa kazi??
ishu ni kuendelea kumfatafata sugu mbona na yeye ni mpuuzi kuwaa mavazi ya ovyo mbele za watu si bora kidole kuliko kutembea makalio wazi na kuvaa mpampaz faiza anatakiwa kutuliza mshono kama ukichaa yeye ni zaidi ya sugu.
Basi mnafanana upeo.Naunga mkono tamko la Faiza