ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,774
- 35,994
Serikali isipumbaze watu ati wanahujumiwa na Morocco ambao wana ushawishi CAF
Binafsi nasema hapana, uwanja wa Mkapa ni mbovu na hauna hadhi ya kutumika kucheza final ya shirikisho
Toka 2023 huu uwanja ulifungiwa na kiasi cha billions 31 zilitokewa Kwa ajili ya ukarabati
Fedha zote hizo zilifanya Nini?
Pitch mbovu
Vyoo vibovu
Viti vibovu
Walioiba pesa zetu watoke wambie radhi na kuukarabati huu uwanja
Au mnafanya maksudi ili matukio makubwa ya kitalii wa michezo yaende kutangaza Zanzibar na sio Tanganyika
Simba ni timu ya Tanganyika ilitakiwa final ya CAF ichezwe Tanganyika sio nchi nyingine ya Zanzibar
Tunataka final ya CAFCC ichezwe Tanganyika na Watanganyika wafurahie timu zao
Wazanzibar waanzishe timu zao ziwe kama Simba na Yanga sio huu uhuni wa kupuuza kutengeneza miundo mbinu ya viwanja vya Tanganyika ili matukio makubwa yakija yaende Zanzibar
Binafsi nasema hapana, uwanja wa Mkapa ni mbovu na hauna hadhi ya kutumika kucheza final ya shirikisho
Toka 2023 huu uwanja ulifungiwa na kiasi cha billions 31 zilitokewa Kwa ajili ya ukarabati
Fedha zote hizo zilifanya Nini?
Pitch mbovu
Vyoo vibovu
Viti vibovu
Walioiba pesa zetu watoke wambie radhi na kuukarabati huu uwanja
Au mnafanya maksudi ili matukio makubwa ya kitalii wa michezo yaende kutangaza Zanzibar na sio Tanganyika
Simba ni timu ya Tanganyika ilitakiwa final ya CAF ichezwe Tanganyika sio nchi nyingine ya Zanzibar
Tunataka final ya CAFCC ichezwe Tanganyika na Watanganyika wafurahie timu zao
Wazanzibar waanzishe timu zao ziwe kama Simba na Yanga sio huu uhuni wa kupuuza kutengeneza miundo mbinu ya viwanja vya Tanganyika ili matukio makubwa yakija yaende Zanzibar