Fainali Sasa rasmi kupigwa Kwa mkapa

Fainali Sasa rasmi kupigwa Kwa mkapa

Status
Not open for further replies.

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,774
Reaction score
35,994
CAF wamewakubalia Simba ombi lao na Sasa Finali itapigwa Kwa Mkapa tarehe 25 May, 2025

JamiiCheck imefuatilia Taarifa hii na kubaini kuwa si ya Kweli. Soma hapa

1747653808095.jpg

Uhalisia wa madai haya

Ufuatiliaji uliofanywa na JamiiCheck umebaini kuwa barua hiyo si ya kweli. Ufuatiliaji kwa njia ya mtandao umebainisha nakala hiyo ya barua haijachapishwa na chanzo chochote cha kuaminika ama CAF wenyewe.

Aidha klabu ya Simba ambayo ndiyo inayoonekana kuandikiwa barua hiyo haijaandika chochote wala kuchapisha barua hiyo katika kurasa zao rasmi za mitandao ya kijamii. Aidha kurasa za mitandao ya mashindano ya Total energies shirikisho na klabu bingwa barani Afrika imekanusha kuhusika na barua hiyo.
 
CAF wamewakubalia Simba ombi lao na Sasa Finali itapigwa Kwa Mkapa tarehe 25 May, 2025View attachment 3338950
Uzushi ile barua ya kwanza ya juzi ilisainiwa na General Secretary, hii president, bonge moja la Kamba.Azam mdaa huu washaanza amsha amsha za mechi na wamesema itacheza Zanzibar, ila mda ndio umebadilishwa badala ya saa kumi na mbili utachezwa saa kumi jioni,ila uwanja ni uleule.
 
FICHA UPUMBAVU WAKO.
UNAIBIWA.

ACHA KULETA MA FAKE YAKO HAPA JF.
FAKE.
FAKE.
FAKE.

Unapigilia msumari kuwa wenye akili ni wawili tu.
 
watanzania kuna haja sana ya kujifunza baadhi ya vitu vinavyoshusha heshima ya mtu. Hii tabia ya kukurupuka ku forward forward kila mtu unachokiona inashusha sana heshima hamjui tu
Mkuu, CAF wana msimamo sio kama akina Karia. Nimecheki website ya CAF kwenye press release hakuna kitu hiki. Labda TFF wameambiwa Kwa mdomo.
 
Simba SC Bingwa CAFCCL 2024/2025, Hutaki hamia Burundi au andamana, This is Simba SC guvu moya...💪.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom