Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

5.Maximo alikuwa katulia zake Brazil migongo wazi wakaingia kichwa kichwa .
 
Jana Danny aliwasumbua sana walinzi wa Mtibwa. Nakubaliana na wewe akizoea mfumo ni bonge la straika.
 
6. Danny Mrwanda alikua akikodiwa kucheza "ndondo cup" Vietnam, Hong Kong bila kusahau lile bonanza linalofanyika Uarabuni.
 
8. Ngassa aliacha kwenda El Mereikh baada ya kushindwa kufuzu vipimo
 
9. Zolla alimwambia Ngassa arudi tz aongeze mwili yeye akaongeza mwili mwenza (akaoa)
 
Hahahahahaaa! Simba wanajua kuwanyima raha yeboyebo! Kuna watu wataumwa kweli mwaka huu! Dah Simba bingwaaaaaa!
Hutaki au unataka hiyo ni juu yako, lakini ndio hivyo tena Simba ni bingwa wa timu zote zilizoshiriki kwenye Kombe la Mapinduzi!
Ova

Siamini kama kweli na mimi unaniombea niumwe!
Naanzaje kuumwa kwa hiki ki kombe cha mbuzi?aah wapi,bado sana.
 
Ukiona umelazimika ku comment basi ujue unaumwa.Punda wa nyuma kapigwa wewe wa mbele kilio cha nini?
 
Siamini kama kweli na mimi unaniombea niumwe!
Naanzaje kuumwa kwa hiki ki kombe cha mbuzi?aah wapi,bado sana.

Hahahaaaaa! Pole lakini, hayo ndio madhara ya kushabikia timu mbovu kama Yanga, unachelewa sana kupata raha ya kufurahishwa na soka la nyumbani! Lol
Ova
 
Hahahaaaaa! Pole lakini, hayo ndio madhara ya kushabikia timu mbovu kama Yanga, unachelewa sana kupata raha ya kufurahishwa na soka la nyumbani! Lol
Ova

Sasa simba wanaizidi yanga kwa kitu gani?labda hivyo vikombe vya michangani lakini kwa Yanga nyie mnakaa tu.
Subirini mziki wetu ligi kuu.
 
Sasa simba wanaizidi yanga kwa kitu gani?labda hivyo vikombe vya michangani lakini kwa Yanga nyie mnakaa tu.
Subirini mziki wetu ligi kuu.

Nakupa kazi. Hesabu katika mechi ishirini za mwisho ambazo Simba na Yanga zilikutana ni timu ipi imekalishwa mara nyingi na timu ipi imepigwa bao nyingi. Kwa faida yako tu, maana kuna dogo ana miaka kumi na moja sasa hajawahi kushuhudia Yanga inaifunga Simba. Lol
Ova
 
Nakupa kazi. Hesabu katika mechi ishirini za mwisho ambazo Simba na Yanga zilikutana ni timu ipi imekalishwa mara nyingi na timu ipi imepigwa bao nyingi. Kwa faida yako tu, maana kuna dogo ana miaka kumi na moja sasa hajawahi kushuhudia Yanga inaifunga Simba. Lol
Ova

O.M.G!Like serious?Miaka 11?Aisee hapa umeongeza chumvi...hii imekaa kishabiki zaidi.
Umesahau tulivyowatandika kwenye ile game ya final ya kombe la kagame 2011 tena mfungaji alikua Kenneth Asamoah?
Baadaye oktoba 29 tukawachapa tena goli 1-0 .Tena kwa faida yako hii game nilikua uwanjani taifa kushuhudia mlivyotoka vichwa chini.
Haya hiyo miaka 11 imetoka wapi?
 
O.M.G!Like serious?Miaka 11?Aisee hapa umeongeza chumvi...hii imekaa kishabiki zaidi.
Umesahau tulivyowatandika kwenye ile game ya final ya kombe la kagame 2011 tena mfungaji alikua Kenneth Asamoah?
Baadaye oktoba 29 tukawachapa tena goli 1-0 .Tena kwa faida yako hii game nilikua uwanjani taifa kushuhudia mlivyotoka vichwa chini.
Haya hiyo miaka 11 imetoka wapi?

Mbona umehesabu mbili tu baby wangu? Nimekuambia hesabu mechi ishirini. Unaweza kuta ndio hizo hizo mbili tu. Maana hapa nilikuwa nasubiri utaje na zile 5-0. Kuhusu huyo dogo kuna siku nitakuunganisha naye, anashangaa kweli kila siku Yanga inakalishwa tu Simba, hadi anahisi inatakiwa iwe hivyo, kumbe ni Yanga wamekuwa vibonde.
Ova
 
Back
Top Bottom