Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Mbona umehesabu mbili tu baby wangu? Nimekuambia hesabu mechi ishirini. Unaweza kuta ndio hizo hizo mbili tu. Maana hapa nilikuwa nasubiri utaje na zile 5-0. Kuhusu huyo dogo kuna siku nitakuunganisha naye, anashangaa kweli kila siku Yanga inakalishwa tu Simba, hadi anahisi inatakiwa iwe hivyo, kumbe ni Yanga wamekuwa vibonde.
Ova

Haha haaaa,baby leo umeniacha hoi sana.Hii homework ya mechi 20 ni ngumu kwa sasa ila nimekutajia zile muhimu.Achana na hiyo ya 5-0 (O.M
G I hate this) maana haikua game kubwa kihivyo.
Huyo dogo itabidi uniunganishe naye maana atakua ajabu la 8 la dunia!Ila nahisi atakua kaujua mpira mwezi uliopita,sio kosa lake...lol
 
Haha haaaa,baby leo umeniacha hoi sana.Hii homework ya mechi 20 ni ngumu kwa sasa ila nimekutajia zile muhimu.Achana na hiyo ya 5-0 (O.M
G I hate this) maana haikua game kubwa kihivyo.
Huyo dogo itabidi uniunganishe naye maana atakua ajabu la 8 la dunia!Ila nahisi atakua kaujua mpira mwezi uliopita,sio kosa lake...lol

Ukiktana naye utamuelewa. Hakuna kitu anafuatilia kama mechi za Simba na Yanga, hadi zile za Wabunge wa Simba na Yanga au za Maveterani huwa hakosi. Anajua sana, utamuona tu.
Ova
 
Ukiktana naye utamuelewa. Hakuna kitu anafuatilia kama mechi za Simba na Yanga, hadi zile za Wabunge wa Simba na Yanga au za Maveterani huwa hakosi. Anajua sana, utamuona tu.
Ova

Nitafurahi maana nahisi ligi itakua kali zaidi ya hii...lol
Hapa nimejifunza kitu,itabidi na mimi niwe na kijidiary changu cha kurekodi mechi za simba na yanga ili kuweka kumbukumbu sawa.
 
Hivi waandaji wametumia vigezo gani kumpa Said Mohamed kuwa golikipa bora wa mashindano wakati amefungwa magoli mawili na kumwacha Peter Manyika aliyefungwa goli moja?

manyika ulinz ulikuwa kama wa marekan kaka kwaiyo muda mwing alikuwa anasoma gazeti tu.simba hawakuwa na ruhusu mipira ya kijinga golin
 
Yanga bwana huyu Said si ndiye alipigwa 5 na Simba akiwa Yanga leo mnamsifia?Mrudisheni akikutana na wanaume mtamtimua tena.

Hahahahah! Unamsingizia bana. Yeye alipgwa 4 lingne 1 la kwanza alipgwa Yaw Berko afu 2nd half hakurudi alisingizia bega linamuuma hawezi kuendelea. 1st half 1 goal na 2nd 4 goals.
 
manyika ulinz ulikuwa kama wa marekan kaka kwaiyo muda mwing alikuwa anasoma gazeti tu.simba hawakuwa na ruhusu mipira ya kijinga golin

Huo ndo mchanganyiko uliopo, kumbuka pia Salim Mbonde ambaye ni beki wa Mtibwa naye amekuwa mchezaji bora wa mashindano, sio rahisi beki na golikipa wake kuwa bora wote at the same time lazima kuna kipindi mmoja aharibu ili mwingine aokoe.
 
Sasa simba wanaizidi yanga kwa kitu gani?labda hivyo vikombe vya michangani lakini kwa Yanga nyie mnakaa tu.
Subirini mziki wetu ligi kuu.

kumbe we yangaaa llloohhh pole sana
msichana mzuri hvyoo unashabikia wale magamba C?
njoo chama kubwaa simbaaaaa shabiki wa damuu
 
Haha haaaa,baby leo umeniacha hoi sana.Hii homework ya mechi 20 ni ngumu kwa sasa ila nimekutajia zile muhimu.Achana na hiyo ya 5-0 (O.M
G I hate this) maana haikua game kubwa kihivyo.
Huyo dogo itabidi uniunganishe naye maana atakua ajabu la 8 la dunia!Ila nahisi atakua kaujua mpira mwezi uliopita,sio kosa lake...lol

5-0 haikuwa gemu muhimu kwenu? Si mlikuwa mmepanga na mkaiendea hadi wapi sijui eti mje tia mchanga kwenye pilau. Yaliyowakuta mnajua wenyewe, mpaka leo hamtaki kukumbuka.
 
Ukiktana naye utamuelewa. Hakuna kitu anafuatilia kama mechi za Simba na Yanga, hadi zile za Wabunge wa Simba na Yanga au za Maveterani huwa hakosi. Anajua sana, utamuona tu.
Ova

Dah! Alafu kweli, hawa ndala watakuwa wanaichukia sana rangi nyekundu na nyeupe. Maveterani wa Simba bado wanaendeleza bakora, Simba kama timu bado wanaendeleza bakora, nina mpwa wangu anasema shuleni kwao msingi huwa wanacheza Simba na Yanga, na huwa Simba kama kawa. Nawaoneaga huruma sana hawanaga pa kutokea inapokuja jina Simba.
 
Dah! Alafu kweli, hawa ndala watakuwa wanaichukia sana rangi nyekundu na nyeupe. Maveterani wa Simba bado wanaendeleza bakora, Simba kama timu bado wanaendeleza bakora, nina mpwa wangu anasema shuleni kwao msingi huwa wanacheza Simba na Yanga, na huwa Simba kama kawa. Nawaoneaga huruma sana hawanaga pa kutokea inapokuja jina Simba.

Hahahaaaaa! Jamaa umenichekesha sana, yaani mpaka zile za shuleni wanakula bao tu. Nadhani hata siku wakicheza viongozi wa Simba na Yanga, ni lazima watakalishwa tu.
Ova
 
"Simba ya sasa ni ya kuogopa na ina Kiburi"

Source: Mwanaspoti a.k.a Gazeti Pendwa La Michezo Tanzania

cc Makoye Matale

Hahahahaaaaa mtazidi kumpandisha nyongo mzee wa dua la kuku.
Ameshindwa kuombea litimu lake bovu lichukue vikombe amebakia na limbao la hisani kama fundi seremala....
 
Last edited by a moderator:
Dah! Alafu kweli, hawa ndala watakuwa wanaichukia sana rangi nyekundu na nyeupe. Maveterani wa Simba bado wanaendeleza bakora, Simba kama timu bado wanaendeleza bakora, nina mpwa wangu anasema shuleni kwao msingi huwa wanacheza Simba na Yanga, na huwa Simba kama kawa. Nawaoneaga huruma sana hawanaga pa kutokea inapokuja jina Simba.

Hii imetulia
 
O.M.G!Like serious?Miaka 11?Aisee hapa umeongeza chumvi...hii imekaa kishabiki zaidi.
Umesahau tulivyowatandika kwenye ile game ya final ya kombe la kagame 2011 tena mfungaji alikua Kenneth Asamoah?
Baadaye oktoba 29 tukawachapa tena goli 1-0 .Tena kwa faida yako hii game nilikua uwanjani taifa kushuhudia mlivyotoka vichwa chini.
Haya hiyo miaka 11 imetoka wapi?

Unakumbuka kombe la tusker Yanga alivyokalia vigogo vyenye ncha kali kwa miaka 5 toka 2000-2005?
 
Back
Top Bottom