Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

simba%2Bna%2Bmtibwa%2Bmapinduzi.%2B3.JPG

ipo siku kila mtu ataushabikia simba

Hata Obama na George Bush wababe wa dunia wanaifahamu Simba SC inafanya kazi gani...
 

Attachments

  • 1421216646086.jpg
    1421216646086.jpg
    25.1 KB · Views: 109
Amkeni jamani tuanze upya,

Mkuu tupo toka alfajiri, sherehe zinaendelea
Muhudumuuuuuuu...wewe uliyevaa nguo ya kijani na njano wewe eeh tuletee kama tulivyo. Muite na mtu wa Jikoni yule alivaa jezi ya blue, fanya haraka tunataka kwenda kuwapokea Wanaume wa shoka na Ndoo ya Mapinduzi.
 
Jifunze kiingereza. Andika I am watching you,just make a minor mistake and you will see the outcome. Rudia kwa kiswahili au rudi shule muda bado unao.

Huyo atakuwa ametumia kiingereza cha walinzi au korokoroni...watching at the get!
 
Steve Yanga amejiunga na Azam baada ya kuona ujinga wa migongo wazi,na kuchoka kulia kila wakipigwa na Simba.

Yanini ufe kwa sononi kwa vipigo mfululizo toka Simba kila siku. Mechi ya tano bila alilia na refa, Mecho ya sare 1-1 akalia na Boban na Mshika kibendera.
Mtani jembe 01 waliyopigwa 3 hakuwa na kisingizio, Mtani jembe 02 walipopigwa 2 oclock kumbe alikuwa ameshaikimbia Yanga lazima tungemzika yule mtindio....
 
Ingekuwa sio ushindi kumbe basi Mtibwa hakutakiwa kufika fainali maana robo fainali na nusu fainali walipiga penati.

Wanajisuta wenyewe kwa maneno yao. Kumbe Simba ameingia fainali na timu mbovu kabisa. Iliyostahili kupambana na Simba SC ni JKU kiboko ya Ndala.
Hahahahaaaaaaaa
 
Bingwa wa Kombe la mapi"mbuzi"
Tunawangojea kwenye VPL.

Staili yetu ni ile ile ya kunyata kama ya Zanzibar, mkishtuka Mnyama Bingwa.
Gari kubwa limekata breki ni mwendo wa kuangalia noti tu.
Hatuchagui hatubagui tumeanza na Mtani Jembe, Mapinduzi bado Ligi kuu VPL
 
Nkijumlisha hela ya mtani jembe na hii ya leo,sion sababu ya kutumia nguv myng kma yanga wasio na kikombe chochte msomu huu..

Ongeza na ile ya Etuile Du Sahel mambo swaaafiii. Muhudumuuuuuu lete kama tulivyoooooo
 
Unakumbuka penati ya Roberto Di Baggio 94 ilivyoota mbawa? Unakumbuka Van Der Sir alivyopangua penati ya Anelka champions league, unakumbuka Cech alipopangua penati ya Olic champions league? Unakumbuka Ndala walipobahatishaga kwa mnyama kwenye mechi fulani ya ngao ya jamii kwa matuta? Bila shaka una kumbukumbu nzuri, natumai.

Kaka nina wasiwasi unabishana na mtu wa kanga moko, hiyo ID yake inajieleza, soka atalijulia wapi. Umemfungulia data ambazo pengine hata kuzaliwa alikuwa bado...
 
Ukija kistaarabu utajibiwa kistaarabu. Ukija kihuni utajibiwa kihuni mpaka utatuliza mizuka. Kila mgonjwa anapata tiba kutokana na uzito wa maradhi yake.
 
Yah beki ya Simba tamu sana, hatari zote wapo imara kuzizuia, Simba ni timu ya kushinda kila siku iwapo fowadi ingekuwa safi...lkn kwa hili tusitegemee ushindi kwenye mipira ya dk 90 kwa mechi kibao, ushindi uliopatikana Simba kwa zilizopita ni za kubahatisha kwa mazingira ya fowadi ilivyo!

Kama Simba hii hii inaipiga Yanga 2 oclock, hao Yanga ndiyo utasemaje?
Unajua Simba sio mbovu kinachoiua Simba ni hujuma za watu wachache wenye fedha ndani ya Simba. Inapotea mechi za kulinda heshima ya timu na kupata fedha Simba huwa inaungana na kuwa kitu kimoja.
Na hapo ndipo panapowaua Yanga kila siku. Angalia mechi aliyofungwa Simba na Kagera, Okwi na Owino hawakuwepo nchini kitu ambacho huwa ni vigumu kutokea kwenye mechi kubwa za kulinda heshima.
 
Washabiki wa Simba wameonekana kwa wingi wakiwa wanaelekea Bandarini kupanda boti kuelekea Zanzibar wakiwa na wapenzi wao wa moyoni kama huyu hapa chini. Ila mpenzi wake kama vile hana furaha.
View attachment 218199

Huo mzigo wa Yanga daaaahhh...hata kama JKU ameingilia kati penzi letu, simuachi mke wangu.
 
Wataalamu wamegundua kwamba kuzimia kwao hakuna madhara kwani wanazimia kwa kuzidiwa na utamu tu na sio matatizo ya kiafya.
 
Back
Top Bottom