Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

hongereni...si mbaya sana maana mna muda hamjachukua kombe
 
Hahahahahaaa! Simba wanajua kuwanyima raha yeboyebo! Kuna watu wataumwa kweli mwaka huu! Dah Simba bingwaaaaaa!
Hutaki au unataka hiyo ni juu yako, lakini ndio hivyo tena Simba ni bingwa wa timu zote zilizoshiriki kwenye Kombe la Mapinduzi!
Ova
 
Back
Top Bottom