grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
Eti Usitukane mamba kabla ujavuka mto! Mto wenyewe MANUNGU? Natukana mpaka 'nakunya' na bado navuka. CHEZEA SIMBA WEWE!
Tena ukiwa na Simba unavuka mto huku unamchezea Mamba Kabaang...
Eti Usitukane mamba kabla ujavuka mto! Mto wenyewe MANUNGU? Natukana mpaka 'nakunya' na bado navuka. CHEZEA SIMBA WEWE!
HahahahahaaWewe waache, watese muda huu maana wana muda mchache wa kutesa, baada ya saa 4:30 usiku mjini patakuwa kimyaaaa wakati kule Manungu mambo yatakuwa cherekochereko.
Mkuu tupo toka alfajiri, sherehe zinaendelea
Muhudumuuuuuuu...wewe uliyevaa nguo ya kijani na njano wewe eeh tuletee kama tulivyo. Muite na mtu wa Jikoni yule alivaa jezi ya blue, fanya haraka tunataka kwenda kuwapokea Wanaume wa shoka na Ndoo ya Mapinduzi.
Namhala hiyo nimeiona, ninachosema ni hawa JKU kutuangushia mtani wetu kabla hatujakutana naye, tulitaka mtani wetu asogee sogee ili tukutane hata kama ingekuwa ni nusu fainali poa tu lakini JKU nao kwa sababu ya kiherehere chao na kutaka sifa wakamwangusha mtani wetu ndo maana nasema wametukosesha uhondo.
aaaaahaa nimecheka paka bas.daaa mrembo mashalaaaaa wowoo hilo duuuu kaumbika kisawasawa kwa chakulaaaa
kumbe ndiyo gia ya makocha wa Yanga kuombea likizo?Nimesikia Plujin alishangilia kwa furaha, maana alijua kukutana na Simba SC ndiyo mwisho wa kuishi nchini......
We bwana we! Mambo ya Yanga sio kuyataja hapa watatushukia na uzi huu uharibike bure! Wewe msifie tuu huyo bibie kwamba kajaliwa sana hayo makalio pia hiyo nguo yake ya rangi ya njano na kijani imemtoa kisawasawa!
Hahaha.. kumbe wanatengeneza Maji?!! Kuna wasiwasi tukamaliza mzigo wote uliopo kiwandani.
Hivi waandaji wametumia vigezo gani kumpa Said Mohamed kuwa golikipa bora wa mashindano wakati amefungwa magoli mawili na kumwacha Peter Manyika aliyefungwa goli moja?
Twende kimantiki zaidi, Mantiki ya kwanza: Salim Mbonde ni beki wa kati na amekuwa mchezaji bora wa mashindano kwa maana kwamba alizuia sana na kama alizuia sana ina maana mipira mingi haikufika kwa Said Mohamed ambaye ni golikipa wake hivyo Said Mohamed hakupaswa kuwa golikipa bora wa mashindano.Naweka ushabiki pembeni, maana hata hivyo nimesharudi ligi kuu na nipo Yanga kama kawa.
Said Mohamed ni kipa stadi sana, na aliokoa hatari nyingi sana langoni kwake, ambazo mwingine tungeongea tofauti muda huu.
Said anaweza sana, mazoezi kwa sana atatufaa sana Taifa stars.
Hongera jana nlilala dogo ndo kanambia tumechukua SIMBA nimekuja mbiooo
Baada ya kazi nzito siku ya jana, leo timu inakwea pipa kuelekea mtwara, kwa ajili ya shughuli moja tu siku ya jumamosi.. kuwaangamiza ndanda.
Labda Ulikuwa Hujui.. Mara Ya Mwisho Yanga Kuchukua Kombe Lolote Lile..
1. Moyes Alikuwa Kocha Everton.
2. Mbeya City Ilikuwa Daraja la Pili.
3. Okwi Alikuwa Tunisia.
Unaruhusiwa Kutupia Na Zako.