Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Mnyama anatisha; Hongera sana Mapunda kwa ujasiri wako wa kuokoa penati ya mwisho:clap2::clap2::clap2::clap2:
 
ushindi wa penati sio ushindi, wanaoahangilia watakuwa na matatizo ya akili

Unakumbuka penati ya Roberto Di Baggio 94 ilivyoota mbawa? Unakumbuka Van Der Sir alivyopangua penati ya Anelka champions league, unakumbuka Cech alipopangua penati ya Olic champions league? Unakumbuka Ndala walipobahatishaga kwa mnyama kwenye mechi fulani ya ngao ya jamii kwa matuta? Bila shaka una kumbukumbu nzuri, natumai.
 
Nkijumlisha hela ya mtani jembe na hii ya leo,sion sababu ya kutumia nguv myng kma yanga wasio na kikombe chochte msomu huu..
 
Bingwa wa Kombe la mapi"mbuzi"
Tunawangojea kwenye VPL.
 
Sijui kwann kocha anampenda maguli yani ni majanga bora yule dogo,na yule okwi alikuwa analukaluka tu sjui ndio viongoz walimwambia wampange tu lakn hakuna chochote cha maana alichokuwa anakifanya
 
I am watching at you, just make a minor mistake you will see the outcomes.

Jifunze kiingereza. Andika I am watching you,just make a minor mistake and you will see the outcome. Rudia kwa kiswahili au rudi shule muda bado unao.
 
Mikia oneni aibu, huu siyo ushindi wa kutembea kifua mbele. Ni aibu kutambia ushindi wa matuta ndiyo maana wakuu wenye heshima zao hawazungumzi lolote hapa jamvini.

tungetolewa kwa matuta humu mngezinguaji,ushindi wa matuta kama si wa kutembea kifua mbele kombe tumechukuaje
 
[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]MECHI YA FAINALI YA KOMBE LA MAPINDUZI, SIMBA VS MTIBWA SUGAR WALIVYOPAMBANA. ANGALIA MWENYEWE[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

[TABLE="class: tr-caption-container, align: center"]
[TR]
[TD] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption"]MECHI YA FAINALI YA KOMBE LA MAPINDUZI, SIMBA VS MTIBWA SUGAR WALIVYOPAMBANA. ANGALIA MWENYEWE[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
simba%2Bna%2Bmtibwa%2Bmapinduzi.%2B3.JPG

ipo siku kila mtu ataushabikia simba
 
Jifunze kiingereza. Andika I am watching you,just make a minor mistake and you will see the outcome. Rudia kwa kiswahili au rudi shule muda bado unao.

If punctuation is a problem to you, I doubt if you are capable for English structure critique!

Take note that:

JF is not only a place to post and read comments but also fools can learn from the wise to become wise
(Makoye Matale, 2015).
 
Sijui kwann kocha anampenda maguli yani ni majanga bora yule dogo,na yule okwi alikuwa analukaluka tu sjui ndio viongoz walimwambia wampange tu lakn hakuna chochote cha maana alichokuwa anakifanya

Nimegundua Okwi siyo mchezaji wa kutulia sehemu moja, sijui ni nafasi aliyopangiwa au la, Okwi alitakiwa abaki kwny line ya fowadi ili magoli yapatikane, tatizo la Simba ni fowadi, beki ya Simba iko imara sana mpaka unaipenda
 
Back
Top Bottom