Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Huyo kocha naye vipi angemwacha tu dogo acheze hadi mwisho sijui kwa nini kamwingiza Mapunda.

Kafanya hivyo sababu kishapokea posa yetu. Vyovyote itakavyokuwa kocha lazima atupe mke wetu.
Tulieni tu maana tunaelekea pazuri sana.
 
Tusubiri matuta kujua hatima yangu japo nahisi sihusiki kwa adhabu.
 
Timu ina professional watano na kocha mzungu lakini wameshindwa hata kupata goli moja la kufutia machozi mbele ya Mecky Maxime! Hivi hao wachezaji wa kigeni wanawaleta kuja kutalii?
 
Jamani nina hali mbaya. Sipendi wakati kama huu. Mungu tusaidie tu.
 
Haya mambo ya penati sisi hatujazoea sana tangu tuachane na Kaseja, lakini Mapunda naye yumo tunamtakia kila la heri asije kuangushiwa gunia la misumari na mashabiki wasio waelewa.
 
Timu ina professional watano na kocha mzungu lakini wameshindwa hata kupata goli moja la kufutia machozi mbele ya Mecky Maxime! Hivi hao wachezaji wa kigeni wanawaleta kuja kutalii?
Azam na Yanga zenye mapro kutoka Brazil na West Africa lakini zilitolewa na timu zenye watanzania watupu sembuse sisi mapro wetu wanatoka hapa hapa East Africa.
 
Back
Top Bottom