Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

Fainali kombe la Mapinduzi, Simba zaidi ya uijuavyo

nliposema yanga ondoken hapa mchukue kopo mkasugue gaga bantu lady na makoye walinijia juu kuwa mimi nina mfumo dume.lakin kwa taratib za kibantu wanaume wanapokuwa wanaongea mke anaenda jikon au kutandka kitanda.kma yanga walivyowah kurud dar kutandka kitanda ili mume akirud amkute mke tayar.sasa bantu ameelewa kuwa simba ilienda kazin kukutana na wanaume ikaibuka dume sasa inarud kupumzikia kwa yanga.kma huu n mfumo dume acha uwe.tumeenda,tumeona,tumebeba kombe.
 
Lala bosi usije bust bure

Maajabu ya leo ni kuwa mechi ni kati ya Simba na Mtibwa na kafungwa Mtibwa. Ila maumivu ya kipigo kayapata kandambili tena kwa uchungu mzito kwa nini? Wakati undugu wenyewe hawana?
 
Unafuatiliaga mpira wewe zaidi ya mechi za Yanga? Matuta ni sehemu ya kuamua matokeo ya mechi ya mpira wa miguu. kacheki rekodi za FIFA uone mechi kubwa zilizoamuliwa kwa matuta na ziko kwenye historia. Mapinduzi cup ndo inashika kasi, tunaweka rekodi yetu mapema, kama kawa!

Achana na huyo mlevi jana aliomba dua kwa mungu anaye mjua yeye, leo laana imemrudia Simba ni mwanaume wa kweli. Ameanza tena dua za ndanda, kashindwa mtimbwa ndanda ndio chakula gani?
 
Lazima aone wivu kazoea kupigwa mwenyewe sasa atapenda wapi mke mwenza.
 
Maajabu ya leo ni kuwa mechi ni kati ya Simba na Mtibwa na kafungwa Mtibwa. Ila maumivu ya kipigo kayapata kandambili tena kwa uchungu mzito kwa nini? Wakati undugu wenyewe hawana?

Hili swali zuri sana. Ebu tusubiri waje watuambie connexion iko wapi? Mnyama anamkalisha Mtibwa, lakini ni ndala hapatoshi. Ila nafikiri ule Wivu wa kike unawasumbua, wanadhani tumetesti ya Mtibwa basi tutawapika wao kibuti. Si unajua mambo ya michepuo, nyumba kubwa huwa na wivu akikuona na kila mwanamke. Ila mi napenda kuwahakikishia ndala, wao ndo nyumba kubwa, watoe shaka.
 
Dah mikia ilivyo na maneno, wiki hii haitakuwa njema kabisa, ila Mtibwa mmepigana hasa. Heshima kwenu Mtibwaaaaa.....
Naichukia hili litimu la msimbazi, lishuke daraja tutulie.

Maskini Bantu pole unajua nn tatizo sio timu ila ni wachezaji yaan wanajua ni sheeeedah
 
Hawazungumzi kuhusu mechi zao wako obsessed na mume wao SSC.
 
ushindi wa penati sio ushindi, wanaoahangilia watakuwa na matatizo ya akili
 
Back
Top Bottom