Iramusm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2009
- 513
- 321
I am watching at you, just make a minor mistake you will see the outcomes.
Hahahaaa! Umepanic brother!
I am watching at you, just make a minor mistake you will see the outcomes.
TUNAENDA TANGA NA Mgambo ShootingNdanda mjiandae kisaikolojia maana jumamosi tutakapokutana, kisu tulicholia miwa ya mtibwa ndo kitakachowashughulikia nyinyi.
Hahahaaa! Umepanic brother!
If punctuation is a problem to you, I doubt if you are capable for English structure critique!
Take note that:
JF is not only a place to post and read comments but also fools can learn from the wise to become wise
(Makoye Matale, 2015).
Ndanda mjiandae kisaikolojia maana jumamosi tutakapokutana, kisu tulicholia miwa ya mtibwa ndo kitakachowashughulikia nyinyi.
Ndanda mjiandae kisaikolojia maana jumamosi tutakapokutana, kisu tulicholia miwa ya mtibwa ndo kitakachowashughulikia nyinyi.
Nimegundua Okwi siyo mchezaji wa kutulia sehemu moja, sijui ni nafasi aliyopangiwa au la, Okwi alitakiwa abaki kwny line ya fowadi ili magoli yapatikane, tatizo la Simba ni fowadi, beki ya Simba iko imara sana mpaka unaipenda
umesahau na USHIRIKINAHuwa sipaniki Mkuu, fuatilia posts za huyo Mkuu utaona jinsi ambavyo si mwanamichezo. Michezo ni furaha, amani na upendo. Kama michezo itageuka kuwa chanzo cha uhasama basi michezo haina maana tena.
Safi sana Mkuu, kisu cha draw kikiendelea itakuwa bomba maana kwenye ligi hakuna matuta!
Mkuu kweli beki ya simba adi kwenye viungo ni hatari lakn mbele ndio kuna shda
Mkuu hilo halina ubishi, miwa tumekula lakini bado kiu kiko palepale. Tutakachofanya ni kuangamiza kiwanda cha maji ya ndanda kwa kuyanywa yote mpaka ya sample...hahahahaha
Safi sana Mkuu, kisu cha draw kikiendelea itakuwa bomba maana kwenye ligi hakuna matuta!
Hahaha.. kumbe wanatengeneza Maji?!! Kuna wasiwasi tukamaliza mzigo wote uliopo kiwandani.
Huwa sipaniki Mkuu, fuatilia posts za huyo Mkuu utaona jinsi ambavyo si mwanamichezo. Michezo ni furaha, amani na upendo. Kama michezo itageuka kuwa chanzo cha uhasama basi michezo haina maana tena.
Pole ukipenda kukatika kwenye arusi za wenzako ndio matokeo yake hayo kusononeka.
If punctuation is a problem to you, I doubt if you are capable for English structure critique!
Take note that:
JF is not only a place to post and read comments but also fools can learn from the wise to become wise
(Makoye Matale, 2015).