Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,561
- 16,339
tukutane ujionee mwenyewe maana nikikuambia hapa haitotosha...Una kibamia
tukutane ujionee mwenyewe maana nikikuambia hapa haitotosha...Una kibamia
hahahahahahhaakingogwe au kitunguu swaumu halafu vinakuwaga vimelegea haha a
ila kabla hujaja muulize general galadudu what is chopwincho ok!Haya nakuja
You are too honest...hahahaaana wahongaji wazuri hapo napo wapendea hasa
Haaa haaa aah daah iseee...I wish I cud be with a penis which had a selector switch![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
hahahahahahah uchokozi huo, hv umeanza lini kutoamin majibu yangu best yangu?
Za kati zinaitwa karotiHiv hakuna za kati? Nasikia tu vibamia na mihogo, mwenzio sielew ujue
Watch it... HahhahahaaNawe usifikiri una uhuru wa kucheka sana hapa ohoooo
We me/me ila nahisi we ke ,,,,,,,.....na km we ni ke size yng unataka uijue yanini kwasabab hata nikikwambia kigegedeo huna

naona ulikua makini sana kufuatilia somoTatizo mizaha mingi,unajua post hii japo mnaichukulia kimzaha tungekuwa tunaongea kwa kupeana uzoefu kati ya me na ke na na namna watu wanavojiskia wakutanapo na hivo mnavyoita vibamia pilipili vibamia carrot na mihongo ingeleta manufaa zaidi maana watu wangejua namna ya kujikuza ama kujicontro ili tu kumudu ndombolo,
Mf mleta mada angekuwa si mshambenga ange enda hatua mbele kwa kueleza pilipili ina cm ngapi
Carrot cm ngapi
Muhogggggo cm ngapi,
Then faida na hasara,
Kila size ina namna inaweza enjoy so adadavue staili IPI kwa yupi,
Tufanye utani wenye manufaa


