Faida za vibamia

Faida za vibamia

Tatizo mizaha mingi,unajua post hii japo mnaichukulia kimzaha tungekuwa tunaongea kwa kupeana uzoefu kati ya me na ke na na namna watu wanavojiskia wakutanapo na hivo mnavyoita vibamia pilipili vibamia carrot na mihongo ingeleta manufaa zaidi maana watu wangejua namna ya kujikuza ama kujicontro ili tu kumudu ndombolo,
Mf mleta mada angekuwa si mshambenga ange enda hatua mbele kwa kueleza pilipili ina cm ngapi
Carrot cm ngapi
Muhogggggo cm ngapi,
Then faida na hasara,
Kila size ina namna inaweza enjoy so adadavue staili IPI kwa yupi,
Tufanye utani wenye manufaa
Kwahyo Huyo mtoa mada atakuwa amezipitia zote!!!!!!Lol
 
Umewafariji wenye vibamia....lakini umetukera wenye mijihogo yetu...utasababisha mabinti watukatae bure..................
 
Muhogo Ni universal unafit staili zote Aisee! Hakuna kikwazo tusiongopeane hapa....Naweza saidia kukamilisha research yako,naona haijakamilika.
 
Kwani kupitia hizo Bamia hatuwezi kutengeneza Kiwanda cha Kutengeneza Juice ya Bamia ambayo ni tiba nzuri kwa Wagonjwa wa Magoti? Haya hata kupitia hizo ' bamia ' unazomaanisha Wewe hatuwezi pia tukaamua kutengeneza Kiwanda maalum cha kutengeneza dawa maalum za ama kuzikuza au kuzififisha?
Umesahau kibamia ndo kinafanya ugali ukaisha
 
Back
Top Bottom